Naomba ushauri kuhusu kununua kiwanja maeneo ya Tegeta

Naomba ushauri kuhusu kununua kiwanja maeneo ya Tegeta

Fuqin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2018
Posts
306
Reaction score
629
Mimi nipo Mwananyamala kibiashara nafkiria kutafuta kiwanja maeneo ya Tegeta au karibu na Tegeta ili nifanye makazi lakini sijawahi kufika nasikia tu Tegeta... na nimeangalia kwenye google map kuna umbali wa km 17 tu.

Yaani sitaki umbali wa zaidi ya Km 20 kutoka kazini kwenda nyumbani.... nimejipanga milioni 10 hadi 15 mwisho kama kuna wazoefu humu au wenyeji wa huko tupeni madini kuhusu maeneo ya huko...

Kwa kumalizia nina kiwanja kigamboni lakini naona ni mbali km 27 halafu njia ya huku kuna foleni sana cose ndo katikat ya mji nafikiri njia ya mwenge tegeta itakuwa hakuna jam ya magari.
 
Mimi nipo Mwananyamala kibiashara nafkiria kutafuta kiwanja maeneo ya Tegeta au karibu na Tegeta ili nifanye makazi lakini sijawahi kufika nasikia tu Tegeta... na nimeangalia kwenye google map kuna umbali wa km 17 tu.

Yaani sitaki umbali wa zaidi ya Km 20 kutoka kazini kwenda nyumbani.... nimejipanga milioni 10 hadi 15 mwisho kama kuna wazoefu humu au wenyeji wa huko tupeni madini kuhusu maeneo ya huko...

Kwa kumalizia nina kiwanja kigamboni lakini naona ni mbali km 27 halafu njia ya huku kuna foleni sana cose ndo katikat ya mji nafikiri njia ya mwenge tegeta itakuwa hakuna jam ya magari.
Mkuu kigamboni sehemu gani? Ni Mwasonga au?
 
Mkuu nisikufiche, kama ni Tegeta hii hii hupati kiwanja kwa hiyo 15M labda iwe mbali sana na barabara na ninakupa angalizo usije ukathubutu kununua kiwanja eneo la upande wa kulia wa barabara inayopandisha toka Tegeta kibaoni kwenda Wazo hill yaani ule upande wote hadi unafika Basihaya USITHUBUTUUU maana najua kwa hiyo bajeti ndio angalau eneo la jirani unapoweza kupata.
Kwa hiyo budget labda huko Bunju ambako kufika kwako ni lazma uwe na usafiri ama uchukue bajaj au pikipiki toka barabarani kwa maana sio umbali wa kutembea kwa miguu.
 
Mimi nipo Mwananyamala kibiashara nafkiria kutafuta kiwanja maeneo ya Tegeta au karibu na Tegeta ili nifanye makazi lakini sijawahi kufika nasikia tu Tegeta... na nimeangalia kwenye google map kuna umbali wa km 17 tu.

Yaani sitaki umbali wa zaidi ya Km 20 kutoka kazini kwenda nyumbani.... nimejipanga milioni 10 hadi 15 mwisho kama kuna wazoefu humu au wenyeji wa huko tupeni madini kuhusu maeneo ya huko...

Kwa kumalizia nina kiwanja kigamboni lakini naona ni mbali km 27 halafu njia ya huku kuna foleni sana cose ndo katikat ya mji nafikiri njia ya mwenge tegeta itakuwa hakuna jam ya magari.
Umeshapata ? Nina kiwanja Tegeta A tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom