Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Asalaam alaikum Nawatangazia kua nina kiwanja nauza ambacho kina sifa zifuatazo . Kiwanja kipo maneno ya Kigamboni maeneo ya puna . Kutoka barabara kuu ni meter 50 . Kiwanja kimepimwa na tayari...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Tafadhari rejea kichwa hapo juu, kama ambavyo tumekuwa na sessions kadhaa za ujifunzaji wa namna ya uandaaji na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali kama:- 1) sabuni ya mchele na ya maji kwa ujumla...
0 Reactions
0 Replies
498 Views
-kiwanja kipo kigamboni ,mjimwema kibugumo -umbali kutoka main road ( barabara kuu ya rami ni 800 meter. ( kituo shule ya msingi kibugumo karibu na ofisi ya mkuu wa wilaya na mkurugenzi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari natafuta Internet service providers wazuri wenye speed kuanzia 20MBps na kuendelea wanaopatikana kimara. Asanteni
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Clean as NEW: Bei 1,000,000 Battery health 100% Storage 500GB Inapatikana Dar, Kwa mawasiliano piga +255 744 641 565 au +255 714 641 567
0 Reactions
0 Replies
416 Views
Habari ndugu Nina shida na hizo machine za NMB na CRDB uwakala na laki tano cash(500,000/=) ambae yupo serious aje pm.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari! Tunauza mota za umeme (AC) za mageti kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, ofisini, kiwandani n.k. Mota zina uwezo wa kubeba/kusukuma geti lenye uzito wa hadi 1200KG (1.2 Ton) na zinakuja na...
7 Reactions
16 Replies
6K Views
Friji ni kubwa milango miwili Inagandisha vizuri, Haina tatizo lolote Mahali Goba njia 4
2 Reactions
8 Replies
936 Views
Habari za mwaka mpya ndugu zangu ma GT. Leo nawaletea habari nzuri, kuwa nina nyumba 3 nazipangisha KODI kwa mwezi ni shilingi 100,000/= tu. Pia jinsi gani ya kilipia Kodi yako ya mwezi utachagua...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari, Ninaomba msaada wa namna ya kuandika tangazo la upotevu wa cheti kwenye gazeti la serikali
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Sofa used zinauzwa bei Tsh 200,000 kwa zote mbili. Zipo Mbezi kwa Musuguri Dar es salaam. Mazungumzo yapo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kupitia namba 0762890123.
1 Reactions
0 Replies
673 Views
Wakuu, tunauza kuku wa nyama (broilers) kwa bei ya 6500. Tupo Kigamboni, Kibada. Mawasiliano: 0625082911
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Simu ni Full Boxed Mpya Storage 128GB Bei 600,000/- [emoji338] 0768689694 Ina Warranty ya Mwaka Mzima
0 Reactions
1 Replies
506 Views
Natafuta usafiri wa kusafirisha kuku kutoka Kahama hadi Dar es salaam kwa bei pouwa na kwa usalama mkubwa
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Beach plot imekatwa Viwanja kigamboni mita 15 au 20 kutoka Daraja la Nyerere. Narudia Tena mita 15 kutoka DARAJANI. Vipo vya 4 Milion na 6.5 Milion. Vipo Viwanja 25 10 vishauzwa bado 15. Karibu...
0 Reactions
9 Replies
978 Views
Aina kipengele. Chombo imecmama unawasha na kuondoka Bei 1.5 mazungumzo yapo kidogo Ipo Morogoro 0624720144
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom