Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bei imekufa! 200K inapoa 0625692602 Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
328 Views
Wale wauzaji wa hizi mashine tafadhali mje chap mniuzie Iwe mpyaa
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Graphics Card ASUS GTX 1060 6GB Bei 500,000/= Call/WhatsApp 0653 713201
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Karibu graceusafi, tunatoa huduma za Usafi Ofisini, nyumbani, shuleni, viwandani na sehemu za ibada Tunafanya Usafi kwenye nyumba mpya, Kama umemaliza ujenzi unataka kuhamia karibu sana...
0 Reactions
2 Replies
820 Views
Niko Ilemela, Mwanza, namtafuta Mwalimu ambaye ni mzuri, anayejua kufundisha watoto vizuri, awe na hofu ya Mungu. Awe anajali watoto sana na ajui kufundisha vizuri. Kwa mawasiliano; 0787247251...
0 Reactions
1 Replies
443 Views
Kiatu kipya kinauzwa bei 130,000/ size 7 hand made from UK Niko Arusha, ukihitaji pm me
1 Reactions
0 Replies
574 Views
Habari poleni na kazi viongozi, nawasilisha kwenu. Ni ni waterproof iko katika form ya gundi, nahitaji ya ajili ya nyumba ya CONTEMPORARY.
0 Reactions
4 Replies
508 Views
Aim: Nauza Bata Specie: Bukini Serbié wakubwa idadi: Wawili (dume na jike) Price: Dume (TZS 330,000) na Jike (TZS 300,000) Combined Price: Ukichukua wote nakuuzia kwa 600,000/=. Location: Makongo...
7 Reactions
65 Replies
6K Views
Habarini za jioni wana jamiiforum wenzangu. Kwa yeyote mwenye uhitaji wa building material yoyote ya GoodOne brand au GoodWill tafadhali usisite kuwasiliana na mimi sales wa Goodone, Johari...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
RE Usajili namba C Imetunzwa Aliekua anaendesha ndie mmiliki Ina miaka 2 na nusu toka ainunue Anataka kubadili biashara Chombo hakina tatizo lolote Inapatikana dodoma mjini Anauza million 3 Mpigie...
0 Reactions
6 Replies
920 Views
Naomba elimu juu ya water pump nzuri za kutumia diesel na petrol. Ziwe na uwezo wa kusukuma zaidi ya mita 300 Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu, Tukutane hapa kwaajili ya maulizo ya magari Kwa Bei Poa kabisa na pia kuuliza swali lolote kuhusu magari Kwa maulizo madogo madogo tunaweza wasiliana Kwa 0777994134 Kwa mfano...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Service yangu ni kwa ajili ya watu wanaotaka kuwa na Vipindi vya Kuvirusha kwenye youtube instagram na Facebook ... Nakutengenezeae account ya Youtube instagrama na facebook kama hauna then...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Je umenunua TV yako ya gharama kubwa na bado unahofia wezi wanaweza kuja kukuibia TV yako. Je unajua asilimia kubwa ya vitu vinavyoibiwa majumbani ni TV. I-SECURE wanalo jibu ni jinsi gani unaweza...
6 Reactions
55 Replies
6K Views
Chumba na sebure vinapangishwa kinyerezi kabla ya kufika kabisa la Roma stand ya zamani unaingia ndani kidogo karibu na msikiti wa kimbekete na karibu na transfoma ni karibu na kituo Cha magari...
2 Reactions
4 Replies
733 Views
Nilikua nafanya reference katika sheria kadhaa za elimu Sekondari kwa watoto wa kidato Cha Pili na kidato Cha Nne. Nimeona watoto wote wa madarasa ya mitihani hawapaswi kuingia kwenye vyumba vya...
0 Reactions
6 Replies
774 Views
Habari wadau. Vyumba vizuri vyenye furniture zake ndani vinapangishwa Ubungo Riverside. Vyumba hivi vina kitanda 5 x 6 na godoro, meza za kusomea, sehemu za kuwekea vitabu ama vitu Vyumba hivi...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Salama wakuu. Ninahitaji engine ya boat Yamaha hp 15 iliyo na gear ubavuni. Kwa aliyenayo tafadhali karibu tufanye biashara. Mpya itafaa zaidi.
0 Reactions
7 Replies
886 Views
PRICE: 5.8 M MODEL: Starlet Glanza ep91 ENGINE: 4e fe 1331cc YEAR; 2002 TRANS: Atomatic Push to start keyless entry Underseat subwoofer Sports rims Spare tyre wheel spanner Call/WhatsApp 0673-364751
0 Reactions
2 Replies
680 Views
Back
Top Bottom