Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ipo pugu kona Ina mzunguko wa mita za mraba 25/20. Ina vyumba vya kulala 5 ikiwemo master 1. Mabafu na vyoo 4 . Sitting room, Dinning, jiko na store. Iko fully furnished nusu tiles na sakafu ya...
1 Reactions
2 Replies
708 Views
Je wajua kuogelea kunaboresha afya na ni ujuzi mzuri maishani pia ni burudani , Karibu msajili mwanao kwenye darasa la kuogelea kipindi iki cha likizo darasa litaanza tarehe 30july-9Sep Location...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu natafuta soko la mahindi lishe yale mahindi ya njano(mahindi ya yanga) yapo tani moja nipo Dodoma, cont. Zangu ni 0621048817
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza Speaker zinatumika mara nyingi kwa Laptop na Simu bei 19,000 Tzs Ni PM
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tunauza mitego ya mbu iko poa huna haja ya kuweka dawa Tena. Au kutumia net inafaa hata mahotelini sio kununua dawa kila siku bei ni 85000 karibun sana tupo Kariakor msimbaz piga simu...
0 Reactions
1 Replies
566 Views
Maelezo: Shamba linauzwa Liko maeneo ya Lutukila,Madaba(Km 1 kutoka barabara ya Songea -Njombe)Ukubwa wa shamba eka 100; Mazao yaliyopo,korosho eka 20,mitiki eka 5,parachichi eka 3,Kuna bonde la...
4 Reactions
52 Replies
6K Views
Habari njema kwa wamiliki wa shule,vyuo, taasisi za tafiti, n.k 👉Tunauza apparatus aina zote ,chemicals, na vifaa vya maabara aina zote. Kwa mashuleni,vyuoni na taasisi mbalimbali za elimu na...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
NAUZA SPEAKER AINA YA SONY SS-LB 455 Hizi ni SPEAKER ORIGINAL USED zenye nguvu kwa Usikivu mzuri wa sauti na MDUNDO wa nguvu. Zipo SPEAKER Mbili ambazo kila moja ndani ina Speaker Nne. Ina...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wa jamiiforums Kwa uendeshaji wa vyuo vya Afya nimeandaa mfumo maalum wa uratibu wa matokeo na ada kwa vyuo vya afya kwa ngazi ya NTA level 4,5 & 6 Mfumo huu utarahisisha kuhifadhi taarifa...
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Habari karibu Bibi nyuki traders tunapatikana Magomeni sisi ni wataalam wa masuala yote yanayohusisha nyuki. tunajihusisha na uzalishaji na usambazaji wa mazao ya nyuki, asali pamoja na nta...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu nahitaji engine ya Toyota used km wew ni dealer naomba tuwasiliane niko Shinyanga mjini. Aksante
2 Reactions
14 Replies
912 Views
OFFA OFFA iPhone 7 plus, 450,000 Tsh. iphone X 600,000 Tsh Iphone X Max 750,000 Tsh Simu hizi ni mpya new, zinakuja toka china. Weka order yako haraka. Pesa utalipa baada ya kupewa simu...
1 Reactions
0 Replies
599 Views
2006 NISSAN PATROL Price Tshs. 30 Million Engine TD42 Manual, 4000cc Fuel Diesel Gari ya kazi kazi In Very Good condition. Imetunzwa vizuri mnoo Mazungunzo kidogo yapo. Whatsapp/call: 0744336336
0 Reactions
0 Replies
596 Views
USED GOOGLE PIXEL N SAMSUNG S9, S9 PLUS. SIMU PEKEE NO ACCESSORIES. CALL 0693225605. pixel gb 64! na 128, Android 12. Simu nzuri sana jamani. niungeni kijana wenu nisife njaa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
GPS TRACKING SYSTEM NI NINI Ni mfumo ambao unawezesha chombo cha moto ambacho kimefungwa kifaa hicho kuweza kutoa taharifa mbalimbali kwa muhusika. Mfano ---- Sehemu chombo kilipo ----...
3 Reactions
20 Replies
12K Views
Karibu mitamba wakisasa wenye mimba,kwa mawasiliano piga/0759927746
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Karibu ujipatie sandwich tamu kabisa kwa ajili ya nyumbani, sherehe, harusi na kazini. Tunachukua orders ya mapishi pia kwa ajili ya snacks za aina zote.
0 Reactions
0 Replies
437 Views
Matatizo Yako Yote Ya Maji Tuachie Sisi | [emoji97][emoji97][emoji97] Tunaamini hata wewe unaweza kuondokana na adha ya kulipa bili kubwa ya maji, au kuepuka kero ya kukatika kwa maji mara kwa...
0 Reactions
1 Replies
929 Views
Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana. -> Kioo kina ukubwa wa inchi 15 -> RAM ni 4GB -> Hard disk yake ni 500GB -> CPU ni duo core ya 1.6Ghz -> Kipengele chake...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom