House4Sale Nyumba inauzwa ipo Toangoma Dar es salaam

alpha walk

Senior Member
Jan 1, 2017
168
156
Nyumba inauzwa ipo toangoma dar es salaam

-Ina vyumba vitatu kimoja master na vyote vina feni juu na sehem ya kuweka kabati la nguo
-Dinning
-Jiko kubwa
-Sebule
-Choo cha ndani na nje(hiki cha nje bado hakijaisha)
-Gypsum
-Tiles kote kasoro vyumbani tu
-Nje kuna vyumba viwili kimoja master(vimeishia kwenye linter)
-Nyuma ina eneo kubwa unaeza ukaongeza vyumba
-Gari linaingia
-Sio mbali kutoka barabarani(panafikika kwa kutembea)
-Njia ya gari kutoka barabarani
-Haina ufa hata wa bahati mbaya ilisukiwa nondo za kutosha(sio jenga uza)
-Bati halina kutu
-Kila kitu kipo sawa

Bei ni mil 90 haina udalali namba yangu 0653110660 kama utapenda kuja kuiangalia

20220817_094239.jpg
20220817_094114.jpg
20220817_094106.jpg
20220817_094032.jpg
20220817_093623.jpg
20220817_093854.jpg
20220817_093619.jpg
20220817_093514.jpg
20220817_093129.jpg
20220817_093255.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom