Nauza kiwanja chenye ukubwa wa mita 25 kwa 20 kilichopo Mabwe Pande karibu na mto Mpiji kwa Tsh 5M. Umeme upo tayari kiwanjani na pia Kiwanja hiki hakijapimwa. Nipigie 0736770052
Bei isiwe kali, zingatia yafuatayo
1. Uwe na risit ya tv
2. Kama hauna risiti tunaandikishiana pamoja vitambulisho na passport size
3. Isiwe imeguswa na fundi
4. Bei iwe ya kitanzania
Picha...
Shamba linauzwa, linafaa kwa kilimo Cha parachichi, miti ya mbao, maharage n,k
Lina ukubwa wa eka 50. Bei ya kila eka ni tsh laki tatu na Elfu hamsini (350,000=)
Shamba lipo Kijiji Cha mfriga...
Jamani naombeni msaada wa mawazo juu ya kufanya malipo online nahitaji kulipia visa ya Canada Leo siku ya nne.
kila nikilipia sipati OPT code kutoka bank ili niingize kukomferm malipo, lingine...
Maelezo: Shamba linauzwa Liko maeneo ya Lutukila,Madaba(Km 1 kutoka barabara ya Songea -Njombe)Ukubwa wa shamba eka 100; Mazao yaliyopo,korosho eka 20,mitiki eka 5,parachichi eka 3,Kuna bonde la...
OFFER OFFER OFFER, NAITUPA NOAH SR40 KALII SANAA
TOYOTA NOAH SR40 MPYAA SANAA
CURRENT REG: DHA
ENGINE SIZE : 1990 CC
Engine Type; 3s
AUTOMATIC TRANSMISSION
2-WD DRIVE
LOW MILAGE
FROM JAPAN
FULL...
Ipo Kibaha kwa Mfipa, ni kama 5 toka barabara kubwa inauzwa ml 90. Huduma ya maji na umeme vipo karibu, ina kisima cha maji pia, nyumba kubwa ya vyumba 3 na master. Pia kuna nyumba ndogo yenye...
Jifunze kiingereza kwa kiswahili.
Vitendo (verbs) vipo vya maumbo tofauti, kama vile tulivyoona go/ went/ gone/ going/ goes nk.
Ila hapa tutaangalia yale maumbo matatu tuliyosema Jana , umbo...
CROWN ATHLETE MPYAA SANAA (DMW)
Y.O.M 2006
Low Mileages
Engine 4gr
Cc 2490
Full Ac
Full File
With sports rims & good tyres
Well maintained
Clean in and out
All duties and tax payed
*Price...
Hiyo nyumba inauzwa ipo kimara suka ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master na jiko store public toilet na sitting room na dinning Room eneo lina ukubwa wa 25x27 Bei milioni 50
Begs jumla elf 35000 rejareja 40000 vinakuwa vitatu
Ni nzuri kimuonekano
Material ni nzuri sana
Tunapatikana Dar Kimara Suka
Tunafanya free derivery Tanzania nzima...
Canon ir 1730
Zinapiga kopy 30 kwa dakika moja
Zinauwezo wa kugeuza zenyewe
Zinaprint mbele na nyuma DUPLEX
Zina scan pia
Zina network system
Rahisi kutumia
Spea zake zinapatikana
Wino wake...
Natafuta gari tajwa hapo juu mwenye nayo isiwe ya udalali. Nahitaji gari safi ilionyooka bila vipengele offer yangu 9M.
Nicheki DM fasta angalizo gari iwe number D yeyote ile ila gari iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.