Habari wanajukwaa. Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Nauza PC ya Aina ya hp. Ni ya kwangu niliinunua dukani sema receipt nime replace. Ukiihitaji tutaandikiana kwa mwenyeketi wa mtaa ama...
Habari .
Natafuta kiwanja kuanzia maeneo ya Goba/Bunju/Salasala/madale nk ambacho kipo pembezoni mwa barabara kubwa.
Kiwanja kinachofaa kwa kuweka biashara.
Mwenye nacho ani DM.
Shukrani.
Habari wadau!
Nina shida na mafuta ya mise au yale ya mawese yanayotumika kutengenezea sabuni za magadi.
Kwa yeyote mwenye nayo au anayejua yanakopatikana tafadhali naomba anifahamishe.
Ahsante
KARIBUNI SANA STUDIO IRIS PRO
KWA MAHITAJI YAFUATAYO
1. RECORDING
2. SHOOTING
3. DOCUMENTARY
BEI ZETU NI NAFUU, TUNAKUFUATA POPOTE KENYA NA TANZANIA
PIGA SIMU +255737817081/+255755549602...
Habari zenu wakuu.
Nina nia ya kufanya biashara ya kuuza simu eneo la Kariakoo.
Huwa naona kwenye maduka mengi ya simu kunakuwa na makabati kadhaa yanayowekwa simu na kila kabati lina muuzaji...
Serious.
Nahitaji Tv flat screen mpya au used, ila isiwe ya wizi na isiwe mbovu.
Ofa yangu ni TSH 150,000/=
Inch 24 na kuendelea
Nipo DSM.
Kama hauna Tv ya kuuza, usilete kejeli hapa.
Asalaam Aleykum!
Wakuu kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kwamba kwasasa Chalinze imeshakuwa wilaya, ujenzi wa makao makuu ya wilaya umeshaanza pamoja na stendi kubwa ya magari ya abiria ambayo...
Ni imara na zinapendezesha nyumba
Zipo za rangi mbalimbali
Wateja wa dar unaletewa buree
Unafungiwa pia buree
Malipo mpaka upate mzigo wako
Milango 2 tsh 75,000
Milango 3 tsh 85,000
Mawasiliano...
Habari zenu wadau ninahitaji watu wenye uwezo wa live band (copy) au cover pub inaitwa MKUSHI PUB ipo wilaya ya kibondo mkoa wa Kigoma.
Mawasiliano 0627491978/0656426643
Natumai wazima humu, Msaada nahitaji IST 1290Cc iwe na conditions nzuri isiwe imerudiwa rangi bajeti yangu 10.5M.
Sitaki iwe kwa dalali ila awe mmiliki halali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.