Habar Wana Jf,
Kama heading hapo juu inavyojieleza, naombeni msaada wa kujua wapi naweza uza nyanya kwa Bei nzuri. Nataraji kuvuna katikati ya mwezi wa tisa, ukubwa wa shamba ni hekari moja...
Maradhi, magonjwa yasiyo patiwa ufumbuzi wa haraka,huleta madhara makubwa hata kepelekea kifo.
Unaweza kuepuka madhara hayo,
Kwa kupata watalaam wazuri wa afya,
Wenye vifaa vyenye uwezo...
Habari zenu mabibi na mabwana. Kama kichwa cha uzi huu kinavyojieleza, Nahitaji ardhi yenye rutuba hata kama ina mapori.
Ikiwa na channel ya umwagiliaji au kua karibu na mto ntashukuru zaidi...
Eneo linauzwa.
Ni robo hekari.
Pembeni kumejengwa vyumba viwili vya kulala na sebule na choo...
Lipo Chanika Nyeburu.
Bei ni million 30.
Halina udalali ...
0620593714
Habari wakuu kama una uhitaji au unataka kuanza au kuboresha biashara yako, karibu hii selcom mashine
Ukiwa nayo hii utaweza kufanya huduma nyingi sana
Ikiwemo malipo mengi ya kimtandao kama...
Kuna mwanafunzi wa law school (July intake) ya pale mawasiliano.
Anatafuta chumba ambacho atakuwa na uwezo wa kwenda na kurudi bila kulazimika kutumia dala dala au boda boda. Kiwe kwenye...
MULTIMACA ni kirutubisho ambacho kimepewa tuzo kwa afanisi mzuri wa kazi yake mwilini
KINATUMIKAJE
Hii inaongeza nguvu za kiume kwa asilimia 100% yani kama utaitumia hii bidhaa tatizo lako...
Habari wadau!
Kama una Laptop au Desktop umesahau Password ya user(admin) au Bios njoo tutatue tatizo.
Gharama ya kuondoa user Password without delete data ni 10,000/= tshs na Bios Password...
Habari za muda huu wanajamii Forums, naomba msaada kwa anaefahamu Chumba kinachopangishwa maeneo ya Mbezi Beach (Africana, Makonde, Shule, jogoo, tangi bovu, kwa zena, au makongo).
Chumba kiwe ni...
Habari za majukumu ndugu zangu,
Naomba kufahamu na connection ya soko la pumba Kwa mikoa ya Arusha na Moshi.
Ni pumba laini kabisa za maindi na mpunga
Mimi na pumba ya kutosha nipo tabora...
Play station ni used
Hard disk 500GB
Ina games ndani tayari za akaunti.
Padi moja ila siyo nzima.
Ninakupa na HDMI na Power cable.
Napatikana Dar es Salaam
Nicheki kwa namba 0682507838 au...
solar products. Inawaletea bidhaa ya taa[emoji362][emoji362][emoji362] 3 pamoja na switch zake pamoja na chaja za simu. Malipo ya awali 20000/= na malipo ya siku 750/= muda WA malipo mwaka 1ina...
Hello
Poleni na majukumu
Mimi nauza nguo za watoto za kike na za kiume kuanzia miaka 0-6 bei ni kuanzia tsh 1, 000 napatikana dar goba kwa mawasiloano karibu sana PM.
Shamba linalofaa kwa kilimo Cha parachichi au miti ya mbao linauzwa. Lipo Kijiji Cha matembwe ktk kata ya Matembwe, tarafa ya Lupembe wilayani Njombe na mkoa wa Njombe. Lina ukubwa wa eka 10
Bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.