Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tuna uzoefu wa kutosha kuweka tiles za aina zote kwenye majengi makubwa na wadogo. Tumefanya kazi na baadhi ya wakandarasi wakubwa na wadogo kwa zaidi ya miaka mitano Tulianzia dar lakini sasa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Rejea kichwa cha habari,naongea na wanunuzi wa simu used hasa kariakoo mnachukua tahadhari mnaponunua simu hizo?mf jamaa wanaweza kuletewa simu dukan mtu analeta simu anaongezea na hela kidogo...
0 Reactions
1 Replies
831 Views
Wakuu nauza hii sea piano yangu bei nzuri sana. Bado kama mpya na haina tatizo lolote. Bei ni Laki mbili na nusu (Tsh 250,000). Maongezi yapo. Ipo Kivule- Mwembeni 0785220408
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nauza gari tajwa hapo juu kwa pesa za kitanzania sh 14, 000, 000 japo maongezi yapo. Gari ipo Kibaha Mlandizi njoo na fundi wako ukague ukiipenda tunayajenga. Gari ni ya diesel na ni manual...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Dar es Salaam, Tanzania, 06 Julai, 2022- TECNO Mobile Tanzania, chapa ya simu za kisasa na bora duniani ambayo imekuwa ikitoa teknolojia ya kisasa zaidi kwa watumiaji, leo imetangaza uzinduzi wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, Wanao hitaji kubadilisha Chinese Yuan kwenda Tsh au Tsh kwenda chinese Yuan kwa bei poa wanitafute. Mawasiliano yangu: 0747744895
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Nyumba inapangishwa Tabata shule. Nyumba ipo ndani ya fensi ina vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, choo cha ndani, maji ya bomba. Kodi laki mbili kwa mwezi Call me 0747744895 Mnakaribishwa.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu nauza kabati dogo la nguo, Bei 150k Location Mbagala Zakhem karibu na Dar Live.
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Petrol station Plot No: 323 Complex Plot No: 324 Location: kigamboni-mbutu
1 Reactions
3 Replies
587 Views
Ebwana wakuu, nahitaji kujua wapi naweza kupata iPhone X used. Nataka used kwa sababu sina hela ya kununua mpya. Naweza pia kutrade iPhone 6S nikaongeza kiasi kidogo kupata hiyo X.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni muda sasa natumia pasi aina tofauti lakini hazidumu, zimekuwa zinaharibika au kuungua sana. Mwenye kujua aina nzuri ya pasi na ikiwezekana na bei yake anisaidie. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
54 Replies
17K Views
Wadau habari, nahitaji VITS au SWIFT for mil 3.5. Najua muda huu kuna mtu ana anauza gari kati ya hizo kwa bei hiyo. Kwa ajili ya biashara serious tafadhali ni pm na picha.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
KIWANJA KINA UKUBWA WA 20*20 KIKO MBEZI KWA BEDUI, KARIBIA NA MPAKANI A' NJIA YA KUELEKEA GOBA BEI NI MIL 6 KIWANJA KINA NYALAKA ZOTE KWA MAWASILIANO 0714309012
0 Reactions
7 Replies
888 Views
Nduguyangu amekwama kutoa mzigo wake bandarini. Anahitaji mkopo wa dharura wa 4m kwa riba watakayokubalian na mkopeshaji. Dhamana aliyonayo ni kiwanja. Kina ukubwa wa 450 SQM, ni cha...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu. Pasipo kupiga chenga nyingi ni kwamba ninataka kuweka mifugo shambani hasa Kanga na Bata Mzinga, Nipo Dar ila kwa wauzaji wa Dar bei zao zipo juu sana nataka kwa Bei ya shamba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
SUZUKI CARRY FOR SALE Year: 1996 Engine Size: 650cc Fuel: Petrol Mileage: 53,000km Transmission: Manual (5 gears) Usage: Private Service : Well maintained Price: 8.5 Million Contact: 0786647564...
0 Reactions
2 Replies
878 Views
Naam kama kichwa cha habari kinavyojieleza external bado mpya na ina movie 1800 inauzwa bei ni 150000 Location ni Mwanza Namba ya simu ni 0769248967
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari nauza Samsung Galaxy S21 5G simu ni mpya kabisa full haifunguliwa RAM 8GB MEMORY GB 128 MADE VIETNAM Price mil 1,350,000 Location mlimani city Contact 0714787795
1 Reactions
0 Replies
794 Views
Nataka tv LG nchi 50,55. Wauzaji njoo dm
1 Reactions
2 Replies
487 Views
Habari wanajukwaa. Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Nauza PC ya Aina ya hp. Ni ya kwangu niliinunua dukani sema receipt nime replace. Ukiihitaji tutaandikiana kwa mwenyeketi wa mtaa ama...
1 Reactions
12 Replies
757 Views
Back
Top Bottom