Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari, Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa Inachuja yenyewe Inaweza kusaga mpaka miwa 300 kwa saa 1 750W Inawarranty ya mwaka mzima Bei: Tsh 1,300,000/...
5 Reactions
72 Replies
8K Views
Uwezo wake ni kukanda kilo 12.5 Ina mikono mitatu Ni stainless steel Ina nguvu 1 year warranty Bei:1,650,000Tsh Tupo kkoo mtaa wa masasi Mikoani tunatuma 0788622610
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Wazee nauza tire/tyre mobility kit, hii ni pump ya kuzaja upepo kwa emergency ama hata nyumbani pia inatumia umeme wa gari, unachomeka kwenye kibiriti pale, mambo mswano. Nimetestia kujazia tairi...
2 Reactions
1 Replies
516 Views
Jipatie mashine za kusaga na kukoboa, zenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu kabsa wasiliana nasi, 0754043910,0656873718, tupo mabibo dar es salaam, karibuni nyote.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye uhitaji wa Dereva anaye peleka magari madogo mikoani na mipakani nipo kwa ajili hiyo, bei zangu rafiki sana na nafanya kwa uaminifu mkubwa sana. Napeleka magari yanayotoka bandarini na...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu, Kuna mzee wangu mmoja amepatwa na shida ghafla hivyo anauza shamba lake hekari 10 lililopo Kiwangwa, Bagamoyo. Shamba liko vizuri sana na lina documents halali zote. Lipo kilometa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunauza cement ya Twiga 10800 bila transport na usafir itakua 11300,, kwa dar tunapeleka kokotee ulipo na kwa mikoan tunachukua oda,, Cement ya kisarawe lucky cement kwa bei ya jumla 11000 pamoja...
1 Reactions
27 Replies
18K Views
Habari! Kwa mwenye laptop aina ya hp pavilion g6-2101tu nahitaji mashine yake tu iwe ni nzima hyo mashine Complete ila ram na hdd baki navyo mwenyew sitaki chaji sitaki kioo Offer yngu 50,000...
0 Reactions
1 Replies
410 Views
Katika kuhamasisha matumizi ya gesi ya kupikia, serikali yetu itakuja na utaratibu wa kumruhusu mteja kuinunua gesi kwa bei ndogo kulingana na mahitaji yake. Kwa sasa wengi wanashindwa kumudu...
5 Reactions
69 Replies
5K Views
Jipatie magodoro original ya spring dodoma qfl 5x6 nch 8 tsh 530,000 5x6 nch 10 tsh 550,000 6x6 nch 8 tsh 630,000 6x6 nch 10 tsh 650,000 Nchi 10 zote free delivery Malipo mpaka upate mzigo wako...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama wanavyoonekana katika picha: [emoji215]Wana afya ya kutosha (~ 1.3 kg) [emoji215]Wana wiki nne sasa [emoji215]Wapo zaidi ya mia [emoji215]Wateja wote (jumla na reja reja) mnakaribishwa...
1 Reactions
2 Replies
337 Views
Nauz vifaranga vya bata aina mbali mbali Kama vile bata Bukini, jumbo perkin, ruen, Indian runner . Na pia nauza bata wa Kienyeji ( Muscovy) Napatikana CHANIKA KWA SINGA Call 0783 29 11 07
0 Reactions
4 Replies
1K Views
✍🏾Kwa jina Naitwa CECE motors. Najishughulisha na Uagizaji wa Magari mapya aina zote na nchi tofauti tofauti kama Japan,UK,Dubai, Singapore, e.t.c 👉🏼Pia Nafanya Clearing and Forward Agent Kwa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Nyumba ipo Chanika mwisho wilaya ya ilala DSM Ina chumba kimoja chenye ukubwa wa futi14 kwa14 na fremu ya biashara moja pia yenye ukubwa wa futi14 kwa 14. Imekamilika kila kitu pamoja na tiles...
1 Reactions
4 Replies
917 Views
✓FORD RANGER 4x4 for sale(Good Condition) ✓Year of manufacture 2015 ✓Price TSH.28,000,000/= ✓Serious Buyer Call/WhatsApp 0765894955. ✓Location ARUSHA Town
0 Reactions
1 Replies
673 Views
# Gunia ni za kilo 100 kila moja # kila gunia moja 50000 tu sawa na 500/kilo # mashudu yapo mkoa wa pwani ila mwenye uhitaji atasafirishiwa popote ndani ya dar na mikoa jirani Wahi chap***...
1 Reactions
0 Replies
406 Views
*** Nina Carpet mbili moja nyeusi na nyingine transparent kila moja ntauza 20000/ badala ya 40 ***Kamba ya chuma ya kuvutia gari wa kati wa dharura taiuza kwa 10000 badala ya elfu 20...
0 Reactions
4 Replies
651 Views
Stabilizer - 40,000/= Kitanda 5*6 - 60,000/= EHD 320 GB - 25,000/= location; Mbezi kimara Cont; 0758 597106
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Pool table lipo Sinza Madukani njia ya vunja bei ilipo vizuri mipira yote ipo na fimbo mbili karibu sana kwa Tsh milioni 1,000,000 WhatsApp no 0683292291 of call 0716195522 asante sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
𝗣𝗮𝘁𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗹𝗶𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗧𝗨𝗜𝗧𝗜𝗢𝗡 𝗺𝗽𝗮𝗸𝗮 𝗻𝘆𝘂𝗺𝗯𝗮𝗻𝗶 𝗸𝘄𝗮 𝗼𝗳𝗮 𝗺𝗮𝗮𝗹𝘂𝗺𝘂. 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐝𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚 𝐲𝐚 𝐂𝐀𝐌𝐁𝐑𝐈𝐃𝐆𝐄, 𝐈𝐁 𝐧𝐚 𝐍𝐄𝐂𝐓𝐀. 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐝𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐨𝐭𝐨 𝐰𝐚𝐝𝐨𝐠𝐨 kuanzia darasa la tano 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚𝐳𝐢𝐦𝐚. 𝗙𝗮𝗺𝗶𝗹𝗶𝗮...
0 Reactions
1 Replies
642 Views
Back
Top Bottom