Mr Peter2023
Member
- Nov 15, 2022
- 8
- 4
Nyumba ipo Argentina karibu na kituo cha mwendo kasi gari inafika mpaka mlango jiko mnatumia watu wa wili na choo mnatumia watu waili maji yapo umeme kwa mwezi 20k unawaka 24h
dharau 😂Kumbe dar vyumba ndiyo shida hivyo sasa hiyo ni nyumba ya kulala au karakana.
Wewe umejenga ln hata hizo mbavu za mbwa auna umewekwa king'ast mwananyamala kisiwani kwa kupenda vizuri tunakujuwaKumbe dar vyumba ndiyo shida hivyo sasa hiyo ni nyumba ya kulala au karakana.