Fundi umeme wa magari kwa Dar

Fundi umeme wa magari kwa Dar

Paul Mchumi

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
1,040
Reaction score
1,273
Habari mazee!
Nahtaji fundi umeme mzuri wa magari anaejua sio mpiga ramli....ka gari kangu kile kidude cha ku charge simu au kupachika mp3 hakipitishi umeme toka jana,....naishi maisha ya tabu nipo kwenye gari lakini nahangaika simu inaisha charge,nimenunua zile mp3 charge za kuchajia zaidi ya tano zote hazifanyi kazi,nikijaribu kwenye gari la jamaa yangu zinafanya kazi ila kwangu hola.....naomba kwa mtu anaemjua fundi mzuri kwa hapa Dar anielekeze au aniunganishe nae,nipo Maeneo ya Sinza hapa!
 
Kuna mdau humu mtafute anaitwa LEGE ni fundi mzuri sana.
Atakusaidia tatizo lako.
 
Habari mazee!
Nahtaji fundi umeme mzuri wa magari anaejua sio mpiga ramli....ka gari kangu kile kidude cha ku charge simu au kupachika mp3 hakipitishi umeme toka jana,....naishi maisha ya tabu nipo kwenye gari lakini nahangaika simu inaisha charge,nimenunua zile mp3 charge za kuchajia zaidi ya tano zote hazifanyi kazi,nikijaribu kwenye gari la jamaa yangu zinafanya kazi ila kwangu hola.....naomba kwa mtu anaemjua fundi mzuri kwa hapa Dar anielekeze au aniunganishe nae,nipo Maeneo ya Sinza hapa!
Kabla hujaenda kwa fundi...fungua fyuzi boksi hapo chini ya dashboard...inategemea na aina ya gari...ukishafungua angalia hicho kifuniko cha fyuzi box utaona fyuzi imeandikwa power socket....ikague kama imeungua...kama haipo ndani ya gari itakuwa kuke mbele kwenye bonnet...fungua kule utafuye fyuzi ya power socket...

Hizi chaja za mp3 mara nyngi zina tabia ya kukata fyuzi...na mimi inanitokea mara kwa mara nikichomeka hii chaja...

Unaweza kwenda kwa fundi waya akakupiga 100k akanunua fuse ya buku shida ikaisha...

Hii itakuwa ni zaidi ya Jackpot Bingo kwa fundi.

Ukikuta fyuzi nzima, basi tafuta fundi then come and thank me later.
 
Kabla hujaenda kwa fundi...fungua fyuzi boksi hapo chini ya dashboard...inategemea na aina ya gari...ukishafungua angalia hicho kifuniko cha fyuzi box utaona fyuzi imeandikwa power socket....ikague kama imeungua...kama haipo ndani ya gari itakuwa kuke mbele kwenye bonnet...fungua kule utafuye fyuzi ya power socket...

Hizi chaja za mp3 mara nyngi zina tabia ya kukata fyuzi...na mimi inanitokea mara kwa mara nikichomeka hii chaja...

Unaweza kwenda kwa fundi waya akakupiga 100k akanunua fuse ya buku shida ikaisha...

Hii itakuwa ni zaidi ya Jackpot Bingo kwa fundi.

Ukikuta fyuzi nzima, basi tafuta fundi then come and thank me later.
Umetisha master
 
Back
Top Bottom