Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hiyo link ni Display na bei zake Hiyo bei ni pamoja na ufundi Share link Epateletech epate ==== SIMU:Leo tuzungumuzie vifaa vya mawasiliano tugusie simu Changamoto kubwa imekuwa ni vioo na touch...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Kiwanja hicho kiko kishili fumagila, Mwanza (kiwanja cha pili kutoka usawa wa barabara kuu ya Kishili-fumagila-bujingwa-mpaka lami ya Usagara) Fumagila ipo kishili, unafika kwa Tsh elfu 2 tu kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini Wadau, Kuna kiwanja kizuri sana kinauzwa SAKINA Arusha, kiwanja kimepimwa na hakina mgogoro wowote, ni cha familia iliyokubaliana kuuza. Kiwanja kinafaa kwa uwekezaji wowote wa...
0 Reactions
12 Replies
857 Views
Naomba msaada kama kuna mtu ana levelling staff au anajua mahali naweza kupata, iwe used au mpya ila kwa bei chee (bei ya kirafiki). Nina shida nayo very soon. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
446 Views
Hello family, Natafuta nyumba ya kupanga kuanzia maeneo ya Kimara temboni mpaka Kiimara mwisho. Sifa za nyumba Vyumba vitatu, sebure na jiko, Fence and stand alone. Huduma muhimu kama maji na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Imekuwa ni ndoto ya wengi kumiliki nyumba ya kuishi hasa kwetu sisi watanzania. Ndoto hii inaweza kutokana na sababu mbalimbali. Kwenye kipengele hiki cha kumiliki nyumba ya kuishi nimekuandalia...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyumba inapatikana Vingunguti Spenco, ina vyumba sita kwa ndani kimoja kwa nje. Vyumba, vyote sita vina. wapangaji. Wahi chapu chapu ubahatike, mwenye nyumba ana shida zake. Piga namba 0677089280...
0 Reactions
103 Replies
10K Views
Wireless Earbuds -Touch sensor...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wireless Earbuds -Touch sensor -Waterproof -Price: 25,000/= Contact: 0653776099 Free delivery service ipo ndani ya Dar es salaam Sent from my Nokia 6.1 Plus using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
436 Views
Nauza Samsung galaxy A53 5G mpya kabsa fullbox mimi nilinunua 780k dar ila nimepata dharura hapa ya ghafla naomba mwenye 650k nimuachie simu hii ina GB 128 Ram 8 niko mwanza nyegezi
1 Reactions
2 Replies
778 Views
Done [emoji736] Ahsanteni wazee...!!
0 Reactions
3 Replies
684 Views
PIKIPIKI IMESHAUZWA, IMESHANUNULIWA NINA WA SHUKURU WATU WOTE WA HUMU NDANI KWA USHIRIKIANO WENU HATIMAE NIMEUZA SIKU NYINGINE NIKITANGAZA BIASHARA MSIWE NA SHAKA WALA WASIWASI YOYOTE Wakuu ni...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau naomba mwenye jiko la kuchoma nyama anikodishe basi!Kwaajili ya x mass tu.0677089280.
1 Reactions
0 Replies
916 Views
Hopefully mko Sawa kabisa. Kuna kamsumari fulani kanaitwa (PUSH CLUTCH) Kwa mujibu wa fundi pikipiki. Huo msumari kazi yake ni: Wakati unabana clutch, kenyewe Kule ndani kanasukuma ili kutenga na...
1 Reactions
2 Replies
388 Views
SunNova Solar Inverter Pure Sine Wave (Brand New/Haijawahi kutumika) Falcon Eco 2000VA/24V Power - 1,300W Weight 15.5kg Ninapatikana Mbezi Louis (Mageti) Kama upo interested nicheki 0629 019820
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kitanda chenye ukubwa wa tano kwa sita kinauzwa, bei ni Tshs 75,000 maongezi kidogo yapo. Napatikana Mbezi Makabe, kama unahitaji piga simu 0712268434 tufanye biashara. Karibuni
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Kwa wale wanafunzi na mtu yeyote binafsi ambae angependa kuweka windows 11 kwenye mashine yake. Tunaweka window 11 ki proffesional zaidi. Tunakuwekea ikiwa na keys na application zinginezo kama...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu. Naomba kujua kuwa wapi naweza pata Corn Starch.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
  • Closed
Nauza bata maji wako 8 kwa bei ya laki moja ya kitanzania (Tsh 100,000/-). Bata wana miezi mitano, mmoja ana miezi nane hivi. . Bei nauza kama bure haipungui hata senti moja.
0 Reactions
119 Replies
7K Views
TANGAZO LA KUUZA NYUMBA NYUMBA INAUZWA IPO GONGO LA MBOTO JIJINI DAR ES SALAM NYUMBA ZIPO MBILI KUBWA NA NDOGO (BANDA LA UWANI) NYUMBA KUBWA INA VYUMBA 3 CHOO CHA NDANI JIKO NA SITING ROAM...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom