Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa anayehitaji gari aina ya TOYOTA CHASER GX 100, there it is. TSHS. MIL. 4 TU (TSHS. 4,000,000/=) Kila kitu cha kwenye gari kinafanya kazi ipasavyo. MAWASILIANO: 0747007131 MAWASILIANO...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Hii ni offer kubwa kwa sababu nina uhitaji wa haraka wa pesa. Heat press machine iko full na vifaa vyake vya kuprint caps,mugs,plates (5in1) vipya. Na Epson L3110 imetumika kidogo sana ni kama...
0 Reactions
1 Replies
705 Views
Ninahitaji Pallet Jack USED ninaipataje?
0 Reactions
5 Replies
589 Views
Kwa wamiliki wa website na web apps kuna changamoto ambazo unaweza kupitia katika uendeshaji wako. Mara nyingi hutokana na kutokupata maboresho mapya kwa wakati sahihi. Kutokana na changamoto...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Juzi Ijumaa, tarehe 16 Septemba 2022 nikiwa natoka kazini nilipark gari Bunju B hii sehemu ambapo gari za Bagamoyo zinazotoka Tegeta usimama na kupakia abiria. Nilipaki gari na kushuka kuingia...
8 Reactions
7 Replies
757 Views
Ipo Kibaha picha ya ndege Master bedroom 1 Vyumba vya kulala vi4 Jiko na store Public toilet Parking Kiwanja ni 515square metres Mashimo mawili ya choo Kina HATI Bei ni 23mil maongezi yapo Kwa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za mda huu wakuu, kama kichwa cha uzi kinavyojielezea hapo ninanunua mayai ya kuku wa kienyeji kwa bei ya jumla. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayeuza au mwenye jamaa yake anauza aina hiyo ya pikipiki tuwasiliane, bajeti yangu ni million 1.5.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kitalu ED Matumizi ya kiwanja: MAKAZI NA BIASHARA Ukubwa: SQM 2,400 Bei: 25,000,000 Kiwanja kinafaa kwa ujenzi wa HOUSING ESTATE Kiwanja kipo mita 400 kutokea barabara kubwa ya kuelekea Dar es...
0 Reactions
3 Replies
665 Views
Wanajamvi nahitaji pikipiki aina ya CG kibao cha mbuzi Huoniao offer laki 6 0716423838
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nijikite kwenye mada moja kwa moja, natafuta kiwanja cha kujenga nyumba, maeneo ya Arusha isipokuwa nje ya mji kidogo, eneo la wastani tu kama 20x25… bajeti ni milioni tatu 3,000,000/-. Kiwanja...
0 Reactions
3 Replies
564 Views
Wakuu nahitaji kile kifaa kidogo kinachotumia umeme kwa ajili ya kuulia mbu, kile unaweka dawa yako unachomeka kwa umeme kinaendelea na kazi. Naomba mwenye kujua wapi nakipata nikanunue kesho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa Eneo: Kongowe Misugusugu-kibaha size: 30*20 600square metre Maji umeme vipo Nusu kilomita kutoka lami ya Morogoro Road Hati ya maandikishano ipo Bei milioni 4. 0744033555...
0 Reactions
2 Replies
773 Views
Tuition nyumbani Karibu sana kwa maelezo zaidi kuhusu kufundishiwa watoto nyumbani katika mda wao wa ziada. Elimu nzuri ya mtoto inaanza na support kutoka kwa mzazi. Mpambanie ili afike mbali...
0 Reactions
0 Replies
457 Views
Tunafua nguo za aina zote, Tupo Chanika Mwisho, Dar es Salaam. Karibu sana.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba mwenye Charger ya MacBook hiyo hapo aniuzie kwa bei ya kirafiki ikiwa used poa pia maana charger yangu imeharibika Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Simple 4 bedroom house . 1 Master bedroom .1 Self room .2 bedrooms . Sitting room . Kitchen . Dinning .Store . Public toilet. Karibu
2 Reactions
1 Replies
520 Views
Hi apartment IPO kariakoo faya, Ipo floor ya 3 no lift. inavyumba viwili kimoja ni master sebule jiko choo Cha pablc bei laki 5 Kwa mwezi Kodi MIEZI 6. _ sevice charge elfu 30 kila mwisho wa...
0 Reactions
1 Replies
533 Views
Wazee habari zenu Wapi naweza nunua gari kwa mkopo? Nilipe milioni 4 halafu iliyobaki nalipa kila mwezi.
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari za mchana wadau wa jukwaa hili. Nimeingia kahama kwa lengo la kuishi hapa baada ya kutoka Arusha. Nataka kufanya kazi ya mitumba (pointa). Natamani sana sana kujua soko kuu la mitumba...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom