Kwa anayehitaji gari aina ya TOYOTA CHASER GX 100, there it is. TSHS. MIL. 4 TU (TSHS. 4,000,000/=)
Kila kitu cha kwenye gari kinafanya kazi ipasavyo.
MAWASILIANO: 0747007131
MAWASILIANO...
Hii ni offer kubwa kwa sababu nina uhitaji wa haraka wa pesa. Heat press machine iko full na vifaa vyake vya kuprint caps,mugs,plates (5in1) vipya. Na Epson L3110 imetumika kidogo sana ni kama...
Kwa wamiliki wa website na web apps kuna changamoto ambazo unaweza kupitia katika uendeshaji wako. Mara nyingi hutokana na kutokupata maboresho mapya kwa wakati sahihi.
Kutokana na changamoto...
Juzi Ijumaa, tarehe 16 Septemba 2022 nikiwa natoka kazini nilipark gari Bunju B hii sehemu ambapo gari za Bagamoyo zinazotoka Tegeta usimama na kupakia abiria.
Nilipaki gari na kushuka kuingia...
Ipo Kibaha picha ya ndege Master bedroom 1
Vyumba vya kulala vi4
Jiko na store
Public toilet
Parking
Kiwanja ni 515square metres
Mashimo mawili ya choo
Kina HATI
Bei ni 23mil maongezi yapo
Kwa...
Habari za mda huu wakuu, kama kichwa cha uzi kinavyojielezea hapo ninanunua mayai ya kuku wa kienyeji kwa bei ya jumla.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kitalu ED
Matumizi ya kiwanja: MAKAZI NA BIASHARA
Ukubwa: SQM 2,400
Bei: 25,000,000
Kiwanja kinafaa kwa ujenzi wa HOUSING ESTATE
Kiwanja kipo mita 400 kutokea barabara kubwa ya kuelekea Dar es...
Nijikite kwenye mada moja kwa moja, natafuta kiwanja cha kujenga nyumba, maeneo ya Arusha isipokuwa nje ya mji kidogo, eneo la wastani tu kama 20x25… bajeti ni milioni tatu 3,000,000/-.
Kiwanja...
Wakuu nahitaji kile kifaa kidogo kinachotumia umeme kwa ajili ya kuulia mbu, kile unaweka dawa yako unachomeka kwa umeme kinaendelea na kazi.
Naomba mwenye kujua wapi nakipata nikanunue kesho...
Kiwanja kinauzwa
Eneo: Kongowe Misugusugu-kibaha
size: 30*20 600square metre
Maji umeme vipo
Nusu kilomita kutoka lami ya Morogoro Road
Hati ya maandikishano ipo
Bei milioni 4.
0744033555...
Tuition nyumbani
Karibu sana kwa maelezo zaidi kuhusu kufundishiwa watoto nyumbani katika mda wao wa ziada.
Elimu nzuri ya mtoto inaanza na support kutoka kwa mzazi. Mpambanie ili afike mbali...
Naomba mwenye Charger ya MacBook hiyo hapo aniuzie kwa bei ya kirafiki ikiwa used poa pia maana charger yangu imeharibika
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hi apartment IPO kariakoo faya, Ipo floor ya 3 no lift.
inavyumba viwili kimoja ni master sebule jiko choo Cha pablc
bei laki 5 Kwa mwezi Kodi MIEZI 6.
_ sevice charge elfu 30 kila mwisho wa...
Habari za mchana wadau wa jukwaa hili.
Nimeingia kahama kwa lengo la kuishi hapa baada ya kutoka Arusha. Nataka kufanya kazi ya mitumba (pointa).
Natamani sana sana kujua soko kuu la mitumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.