uzeebusara
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 657
- 513
Habari wana jukwaa!
TAARIFA: KIWANJA KIMESHAUZWA
Note: admin sijaelewa kwa nini tangazo la kwanza mmelifuta. Tafadhali naomba msifute au laah niambieni nakosea wapi
Nauza kiwanja changu kipo eneo la Kidete, Mtaa wa Kibugumo, Kigamboni. Kiwanja kinafikika kirahisi sana kwa anefahamu njia ya Gezaulole, ukivuka shule ya Kibugumo kabla ya kufika kituo cha mafuta cha Puma unashuka na barabara ya mkono wa kushoto inayoenda baharini na nyumba za serikali. Mita 350 kutoka nyumba za serikali na mita 650 toka baharini
Ukubwa wa kiwanja ni mita za mraba 450, umeme, maji na barabara vipo. Umbali toka Ferry ni km 8
Bei mil 17 maelewano yapo. Kuangalia inaruhusiwa
Maelezo zaidi 0777 777 766 au 0659 211 222
Karibuni
TAARIFA: KIWANJA KIMESHAUZWA
Note: admin sijaelewa kwa nini tangazo la kwanza mmelifuta. Tafadhali naomba msifute au laah niambieni nakosea wapi
Nauza kiwanja changu kipo eneo la Kidete, Mtaa wa Kibugumo, Kigamboni. Kiwanja kinafikika kirahisi sana kwa anefahamu njia ya Gezaulole, ukivuka shule ya Kibugumo kabla ya kufika kituo cha mafuta cha Puma unashuka na barabara ya mkono wa kushoto inayoenda baharini na nyumba za serikali. Mita 350 kutoka nyumba za serikali na mita 650 toka baharini
Ukubwa wa kiwanja ni mita za mraba 450, umeme, maji na barabara vipo. Umbali toka Ferry ni km 8
Bei mil 17 maelewano yapo. Kuangalia inaruhusiwa
Maelezo zaidi 0777 777 766 au 0659 211 222
Karibuni