Nimepata maumivu baada ya kuisahau mahali kwa sekunde chache simu yangu ya Nokia 95, niliyokaa nayo kwa miaka minne na niliyoipenda sana hasa kutokana na camera yake ya 5.8 pixels, ikapata...
Hofu ya kusakwa kwa viungo vya walemavu wa ngozi imeibuka upya baada ya watu wasiojulikana kudaiwa kufukua kaburi la mlemavu wa ngozi katika kitongoji cha Izengwabasumba katika kijiji cha...
Kilimanjaro BBQ & Restaurant
94 Longbridge
opposite "AtTqwa"-Jumuiya ya wasomali
Barking
Wanaondesha hii Restaurant ni waswahili kutoka nyumbani na tarehe 3 Jul 2010 wamefunguwa rasmi...
Iphone 3GS 32G inauzwa, imetumika kwa miezi sita. Sababu ya kuiuza ni kwa vile nina-upgrade to IPHONE 4G~kwa anayeitaka naomba ani-PM, au aniandikie at Yegomasika@gmail.com
itapatikana mwishoni...
iphone 3gs 16gb inauzwa
bei 800,000
mpya ipo kwenye box lake na vitu vyake vyote
haijawa unlocked
ukitaka iwe unlocked bei itakuwa 870,000
kutoka UK
contact 0717445288
We are Better connected for our customers' satisfaction.
Just PM me for any further inquiries on the products and orders.
........................
Unlocked 2SIM 4BAND WIFI JAVA TV G-SENSOR...
Baadhi ya wananchi wakitazama ndege ya kijeshi iliyoanguka jana katika kijiji cha Manga barabara Kuu ya Segera- Chalinze, Wilayani Handeni mkoani Tanga, na kusababisha vifo vya marubani wawili...
Nina Engine 12R ya Toyota Hilux ambayo nataka kuiuza. Haina starter wala carburreter yeyote anayeihitaji au anajua muhitaji anijulishe. unaweza kunitumia email kwenye address yangu ambayo ni...
THIS CAN BE THE FIRST DAY OF YOUR NEW LIFE.
The first step will be the greatest one-Dennis Whitley
Fifty percent of the battle ends when you make up your mind-S; T.Cathy
The turning point of...
2.9 release of Swahili WordPress is out, you can get it from the Swahili WordPress here WordPress | WordPress in Swahili
Enjoy
Note:
**I am currently the only maintainer of the Swahili...
Basi aina ya Isuzu uwezo wa kubeba abiria 40,bila matatizo.lipo sokono kwa ajili ya kukodishwa kwa Ofisi,shule , sherehe kama harusi, nk au taasisi yoyote inayotambulika kwa hapahapa Dar es salaam...
Laptop iliyotumika inahitajika. Isiwe very complicated, kwa bei nzuri. Isizidi TZS 600,000/=. Kwa yeyote yule ambaye anaiuza, tuma sms au piga simu 0786-019019. Asante.
Wana JF,
Naomba msaada wa mtu anayeweza kuniambia mtu anayemshonea mashati Kikwete-sijui niyaite ya kitanzania au ya kia Africa? Kuna mtu anayataka na ameyazimia nimeshindwa kujua pa kuyapata...
Hello viewers
Tanzania Home Power Systems - Sole distributors of eco crank box - is looking for re-sellers around the coutry.
We have a fair deal to anybody who wants to be our dealer.
Interested...
Lucusjapan Tanzania Ltd ndio kampuni pekee inayouza magari ya aina zote na kwa bei nafuu yakiwa yameishalipiwa ushuru na kusajiliwa. Showroom ipo Dar es salaam mikocheni old Bagamoyo road opposite...