class 7 na sasa ndio wanajenga madarasa ya ghorofa ya shule ya BAO BAOGrade gani
hakuna shaka mkuu ukipenda mnaweza kwenda pamoja na mkurugenzi wake mpaka crb, ni kampuni makini sana na ya kitanzania na mfano kwa wasomi wetu jinsi gani ya kujenga nchi yetu ili siku moja ujenzi wa nchi yetu uwe mikononi kwa watanzania na si kampuni za kigeni,nikienda kufanya search crb nitaikuta kweli hii kampuni?.
Tupe data imesajiliwa wapi na namba ya usajili.
MCHUBANGA CIVIL AND BUILDING (....What???)
PO BOX 71997 DAR
AU WASILIANA NA MKURUGENZI MTENDAJI
BWANA VICTOR CHACHA SIMU YAKE NI
O713195747
Nataka kutangaza JF lakini sijui nifanyeje:
- Katika toleo la JF lijalo tumeonelea ni vema kuweka gharama za matangazo katika JF pamoja na aina za matangazo na sehemu za kutangaza ndani ya JF. Tutaweka wazi gharama bila kificho ili kila anayetaka kutangaza biashara yake kupitia kwetu aamue ni eneo gani angependa kutangaza na kivipi.
- Tunawashukuru Zain kwa kuwa wadau wa kwanza kuchukua fursa ya kutangaza kwenye Front Page, tunaamini baada ya uzinduzi wengi wataelewa gharama zikoje na wapi pa kuwasiliana nasi ili kuweza kuweka matangazo hapa JF
- JF yenyewe itaanza kujitangaza kuanzia Aprili 2010.
mheshimiwa ukiwa tayari unaweza kuwasiliana na mkurugenzi , atatoa agizo kwa building economics afanye mahesabu ya gharama kulingana na material yatayotumika na size ya nyumba(BOQ) amboa utakupa gharama halisi ya ujenzigharama za ujenzi zinarange kiasi gani kwa ntiumba standard ya vumba vitatu vya kulala sebule , dinning self contained isito na vikorombweza vingi? mi natarajia kuanza ujenzi december, labda wanaweza kunisaidia manake muda wangu i tight sana
MCHUBANGA CIVIL AND BUILDING....what?company?enterprises?engineers...title yenyewe incomplete...bogus oufit