Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,359
Unataka kushinda kura za maoni na kuteuliwa na chama chako kugombea ubunge au nafasi yeyote ya uchaguzi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015? Unataka kugombea ubunge kama mgombea binafsi na kushinda uchaguzi mkuu? Basi soma hapa.
Tunatambua idadi kubwa ya watanzania wanaoishi nje ya nchi wana nia, uwezo na sifa za kushika nafasi za uongozi zinazotokana kupigiwa kura na nia zao huzingwa na kutofahamika kwao kwa wapiga kura na jitihada zao kuzingirwa na umaarufu wa wagombea wengine.
Tunatambua idadi kubwa ya wafanyakazi katika sekta binafsi na sekta ya umma wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wanakwamishwa na sheria au majukumu yao katika taasisi hizo.
Katika juhudi za kutimiza ndoto za watanzania wenzetu wanaobanwa kwa namna moja au nyingine kushiriki katika uongozi wa nchi yao kwa kushindwa kupata fursa ya kushiriki na kushindana katika chaguzi kutokana kukosa umaarufu kwa wapiga kura kampuni yetu inakusudia kukufanyia wewe yafuatayo:
· Kufanya utafiti wa aina ya wapiga kura na mahitaji yao
· Kujenga ushirikiano na wadau muhimu katika jimbo au eneo la uchaguzi
· Kutafuta mianya ya uchangiaji na kuifahamisha jamii vipawa vyako na kujenga matarajio.
· Kuanzisha, kuimarisha, na kudumisha uhusiano wa kijamii baina yako, vyombo vya taarifa na wadau wajenzi wa maoni katika jimbo au eneo.
· Kujenga umaarufu wako binafsi na kuhuisha michango yako kijamii.
· Kusimamia ajenda yako ya uchaguzi na kuinogesha na mahitaji/matarajio ya wapiga kura
· Kusimamia shughuli zako za kutangaza nia,kukampeni na kusherekea ushindi.
SISI NANI?
Kampuni yetu imesajiliwa kama kampuni ya ushauri na uchunguzi tangu mwaka 1997, tuna uzoefu wa kusimamia kampeni mbalimbali zilizofanikiwa. Tunafanya kazi kwa usiri mkubwa na wateja wetu hubakia siri. Tuna rekodi nzuri ya kushinda kwenye kila kazi tuliyoifanya bila kuathiri sheria na maadili ya nchi. Wataalam wetu ni weledi na wana uzoefu wa chaguzi kutoka nchi mbalimbali Afrika,Ulaya na Marekani.
Kumbuka..
Alipoinunua club ya Rangers 1989 G.W Bush hakuna aliyedhani kuwa alikuwa ananunua tiketi yake ya white house na kilichofuata ni historia
Najua kuna wenzetu wanauwezo na wangehitaji kuzungumza na sisi tafadhari ni PM nitakupa mawasiliano..
Tunatambua idadi kubwa ya watanzania wanaoishi nje ya nchi wana nia, uwezo na sifa za kushika nafasi za uongozi zinazotokana kupigiwa kura na nia zao huzingwa na kutofahamika kwao kwa wapiga kura na jitihada zao kuzingirwa na umaarufu wa wagombea wengine.
Tunatambua idadi kubwa ya wafanyakazi katika sekta binafsi na sekta ya umma wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wanakwamishwa na sheria au majukumu yao katika taasisi hizo.
Katika juhudi za kutimiza ndoto za watanzania wenzetu wanaobanwa kwa namna moja au nyingine kushiriki katika uongozi wa nchi yao kwa kushindwa kupata fursa ya kushiriki na kushindana katika chaguzi kutokana kukosa umaarufu kwa wapiga kura kampuni yetu inakusudia kukufanyia wewe yafuatayo:
· Kufanya utafiti wa aina ya wapiga kura na mahitaji yao
· Kujenga ushirikiano na wadau muhimu katika jimbo au eneo la uchaguzi
· Kutafuta mianya ya uchangiaji na kuifahamisha jamii vipawa vyako na kujenga matarajio.
· Kuanzisha, kuimarisha, na kudumisha uhusiano wa kijamii baina yako, vyombo vya taarifa na wadau wajenzi wa maoni katika jimbo au eneo.
· Kujenga umaarufu wako binafsi na kuhuisha michango yako kijamii.
· Kusimamia ajenda yako ya uchaguzi na kuinogesha na mahitaji/matarajio ya wapiga kura
· Kusimamia shughuli zako za kutangaza nia,kukampeni na kusherekea ushindi.
SISI NANI?
Kampuni yetu imesajiliwa kama kampuni ya ushauri na uchunguzi tangu mwaka 1997, tuna uzoefu wa kusimamia kampeni mbalimbali zilizofanikiwa. Tunafanya kazi kwa usiri mkubwa na wateja wetu hubakia siri. Tuna rekodi nzuri ya kushinda kwenye kila kazi tuliyoifanya bila kuathiri sheria na maadili ya nchi. Wataalam wetu ni weledi na wana uzoefu wa chaguzi kutoka nchi mbalimbali Afrika,Ulaya na Marekani.
Kumbuka..
Alipoinunua club ya Rangers 1989 G.W Bush hakuna aliyedhani kuwa alikuwa ananunua tiketi yake ya white house na kilichofuata ni historia
Najua kuna wenzetu wanauwezo na wangehitaji kuzungumza na sisi tafadhari ni PM nitakupa mawasiliano..