Apewe nani sasa, thread nyingine jamani! Naomba nikueleleweshe nchi hii ni nzuri endapo tu wananchi watajua haki zao kikamilifu ndipo serikali itakapotoka katika usungizi wa pono na kutekeleza majukumu yake ya msingi ikiwepo kupanda kwa bei ya mafuta, kupanda kwa umeme, nauli, mfumko wa bei, rushwa na ufisadi uliomea saizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.