Dowans msiba

Apewe nani sasa, thread nyingine jamani! Naomba nikueleleweshe nchi hii ni nzuri endapo tu wananchi watajua haki zao kikamilifu ndipo serikali itakapotoka katika usungizi wa pono na kutekeleza majukumu yake ya msingi ikiwepo kupanda kwa bei ya mafuta, kupanda kwa umeme, nauli, mfumko wa bei, rushwa na ufisadi uliomea saizi.
 
Back
Top Bottom