sana sana dagaa kutoka Mz.Nina mtaji wa laki tano eti utafaa kwa biashara gani hapo Shinyanga?
Tafuta 7m nikupe biashara kwa shy faida 1.5m kwa mwezi. kwa hiyo pesa yako labda ununue yeboyebo dar kwa jumla kisha uanze hangaika minadani itakulipa vizuri. dhahabu au dagaa huwezi itaishia kwenye matumizi tu.