Shamba linauzwa

OGOPASANA

JF-Expert Member
Apr 30, 2009
262
144
Shamba lenye ekari 3, lipo vikawe - wilaya ya bagamoyo, kitongoji cha Kimere. Limelimwa miembe, michungwa, mipapai, migomba na mbogamboga na kuna mabanda ya vyumba viwili. Shamba lipo kwenye maeneo yanayofikika kwa urahisi kwa njia zote za usafiri.

Kwa mawasiliano:
0715 282684 / 0754 282684 / 0787 282684
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom