Mafanikio yanaanzia kwenye akili yako. Leo ninakushirikisha mambo mawili ambayo yanaweza kukuumiza. Endapo yatakuumiza pole na utanisamehe kwa hilo. Kusudi kuu la makala hii ni kuonyesha njia ya...
Badge hidden video & sound recorder pia Kwa ma Biker kitu ni nzuri sanaaaa Ina magnetic 🧲 inakaa kokote hata kwenye shirt/t-shirt/coat video ni HD..... only for 300,000/=
Dsm
0718909429
Habari wakuu, ni matumaini yangu mko vizuri.
Leo nimewaletea fursa kwa wale wamiliki wa stationary, wamiliki wa shule au taasisi za kiellimu, wanafunzi kuanzia shule za msingi hadi kidato cha...
Wadau nani anajua zilipo tv za MTUMBA KUTOKA GERMAN mana nimesikia hizi zinadumu mara 100 ya TV hizi smart za KICHINA za kariakooo.
Mana hawa wauza tv za kariakoo wanakupa warranty ya mwaka mmoja...
Tathmini hii inafanyika kwenye nyumba ambazo ni kwa ajili ya KUJENGA/KUTUNZA utajiri. Nyumba za kuishi jenga au nunua kwa kuzingatia mapenzi yako binafsi (au mapenzi ya familia yako) pengine hata...
Nahitaji frame au eneo Zuri lenye mzunguko mzuri wa watu(pesa) ili nifungue biashara ya famasi mkoa wa ruvuma hususan SONGEA
kwa anaeweza kunipa location wapi naweza pata kwa kukodi,naomba...
Habari wana JF,
Kioo chako cha simu ya Samsung kinasumbua au kimeharibika? Basi usiangaike, agiza nami kwa bei nafuu zaidi kutoka China, hutajutia kufanya biashara na mimi na utaendelea kuipenda...
Nina uhitaji wa Subwoofer kwa matumizi binafsi (nyumbani). Kama mnavyojua siku hivi kuna kampuni nyingi au aina kedekede za kichina zinazotengeneza hizo bidhaa.
Hivyo naomba mwongozo kwa...
Nauza chupi za cotton kwa bei ya jumla mzgo umetoka China
Location: dar es salaam
Bei negotiable kutokana na idadi unazotka si chini ya pc 100 nauza
0753595520
HISA ZA KAMPUNI BINAFSI
Hisa za kampuni binafsi ni hisa zinazomilikiwa na watu wachache ambao wamealikwa na kampuni kushiriki katika umiliki wake. Kampuni binafsi mara nyingi hazina nia ya...
Eneo la nusu heka na boma lake linauzwa
Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. ya Sim bani
Eneo Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining...
Aina: Boss
Hali yake: Nzuri sana
Bei: 550,000
Lilipo: Dar es Salaam
Mawasiliano:- 0675341515
NB:
FREEZER HAINA SHIDA YOYOTE NA WALA HAIMJUI FUNDI. NAIUZA KWASABABU SINA Matumizi nayo kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.