Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mimi ni fundi natafuta fundi anaye hitaji msaidizi faniyangu ni mechanical Niko dar
0 Reactions
1 Replies
334 Views
Natafuta king'amuz cha azam cha elfu 90
0 Reactions
2 Replies
521 Views
Habari zenu ndugu nauza simu yangu iphone 11 eleven simu ni mpya kabisa nauza pamoja vyote hivo kwa bei ya laki 8.5 sifa zake GB 128 bettry 100 face id iko vizuri simu haimjui fundi namba...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Nyumba ya vyumba 3 vya kulala na sebule, ipo ndani ya fensi. Inahitaji marekebisho machache. Uwanja una ukubwa wa 20m x 18m, hauna hati ila kuna mkataba wa mauziano ya kiwanja. Maji ya DAWASA na...
0 Reactions
5 Replies
791 Views
Tunatengeneza sare za tshirt kwa ajili ya shughuli za kijamii,utalii, serikali, familia na sare kwa ajili ya taasisi binafsi na serikali . Ofisi zetu zipo Lumumba tunatazamana na ofisi ya ccm...
0 Reactions
0 Replies
379 Views
Tunauza engine used za boti aina ya Mercury Outboard 2-Stroke zenye 40horse power. Engine hizi zina 697cc ni inline 3 cylinder, zinatumia petrol na 2 stroke oil ,uwashaji wake ni wa kuvuta kick...
3 Reactions
5 Replies
881 Views
Wanajf habari zenu bana?? Nimepata dharura naondoka mkoa huu nilipo(Arusha) na nauza vitu vifuatavyo. 1.Kitanda 5 kwa 6. Tsh 320k 2.godoro.comfy 5 kwa sita inchi 8 .Tsh 170K 3.SeaPeano..tsh...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
BREAKING Jipatie mashine mbalimbali za Kilimo na Ufugaji kwa gharama nafuu. ■ Mashine moja inayosaga na kukoboa. ■ Mashine ya kumenyea Mahindi. ■ Mashine ya kupukuchukua Mahindi. ■ Mashine ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni nyumba yenye vyumba vitatu, viwili vikiwa ni master pamoja na sebule na dining room. Eneo Lina ukubwa wa MITA 70 kwa 21, kuna eneo la shamba kama linavyoonekana kwenye picha. Bei yake ni nafuu...
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Habari wanajukwaa, Wale wataalam wa kushona nguo za aina mbalimbali za kiume na za kike uzi wenu huu muanze kuonyesha kaz zenu mbali mbli na mikoa mliyopo.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza programu ya Ms office 2021 pro+ kwa ghrama ya 20k. Napatikana Dar (Mwenge), karibu na kituo Cha mpakani Nitumie pm ujumbe
1 Reactions
1 Replies
458 Views
GETI UKUBWA: FUTI 8 ×7 BEI: TSHS 400,000 _______________________ MLANGO UKUBWA: FUTI 7×7 BEI: TSHS 500,000 _______________________ KWA HUDUMA YETU: 0716442950 MAHALI: MBEZIBEACH...
0 Reactions
0 Replies
870 Views
GETI LINAUZWA UKUBWA: FUTI 8 ×7 MAHALI: MBEZIBEACH TANGIBOVU BEI: TSHS 400,000 KWA HUDUMA YETU: 0716442950 ____________________
0 Reactions
0 Replies
372 Views
Jipatie magodoro original ya spring dodoma qfl 5x6 nch 8 tsh 530,000 5x6 nch 10 tsh 550,000 6x6 nch 8 tsh 630,000 6x6 nch 10 tsh 650,000 Nchi 10 zote free delivery Malipo mpaka upate mzigo wako...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Eneo kubwa heka 18 za ardhi kandokando ya ziwa viktoria lenye mifugo, vizimbwi vya samaki,malambo linauzwa kwa usd 300000 piga simu 0739290084 au 0622290084. Bei inaweza kupungua. Ni zuri kwa...
0 Reactions
9 Replies
797 Views
Kwa wale wanaohitaji baibui kwa jumla na rejareja kuanzia bei ya 8k, 10k nakuendelea tuwasiliane 0712094550 tunapatikana JENGO LA MACHINGA COMPLEX KARUME DSM. KARIBUNI SANA 0712094550
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza used iphone x 64gb 100% Battery health Iko Arusha 0658885932
1 Reactions
2 Replies
469 Views
dryer ni 150,000. ina miezi 6 risiti ipo na boksi lake stima ni 80,000 imetumika kimtindo Viti viwili 100,000(vya kisasa) stendi ya kuoshea nywele 40,000 kabati la chini ya kioo 70,000...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Location: Kigamboni Mjimwema City: Dar Es Salaam-DSM. Plot number: 2084. Block: "G" Size: 5045 Sqm Type: Beach plot. Documentation: Title Deed available. Distance: 8kms from ferry. 12kms from...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Mafanikio yanaanzia kwenye akili yako. Leo ninakushirikisha mambo mawili ambayo yanaweza kukuumiza. Endapo yatakuumiza pole na utanisamehe kwa hilo. Kusudi kuu la makala hii ni kuonyesha njia ya...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom