Habari zenu ndugu
nauza simu yangu iphone 11 eleven
simu ni mpya kabisa nauza pamoja vyote hivo
kwa bei ya laki 8.5
sifa zake
GB 128
bettry 100
face id iko vizuri
simu haimjui fundi
namba...
Nyumba ya vyumba 3 vya kulala na sebule, ipo ndani ya fensi. Inahitaji marekebisho machache.
Uwanja una ukubwa wa 20m x 18m, hauna hati ila kuna mkataba wa mauziano ya kiwanja. Maji ya DAWASA na...
Tunatengeneza sare za tshirt kwa ajili ya shughuli za kijamii,utalii, serikali, familia na sare kwa ajili ya taasisi binafsi na serikali .
Ofisi zetu zipo Lumumba tunatazamana na ofisi ya ccm...
Tunauza engine used za boti aina ya Mercury Outboard 2-Stroke zenye 40horse power.
Engine hizi zina 697cc ni inline 3 cylinder, zinatumia petrol na 2 stroke oil ,uwashaji wake ni wa kuvuta kick...
Wanajf habari zenu bana??
Nimepata dharura naondoka mkoa huu nilipo(Arusha) na nauza vitu vifuatavyo.
1.Kitanda 5 kwa 6. Tsh 320k
2.godoro.comfy 5 kwa sita inchi 8 .Tsh 170K
3.SeaPeano..tsh...
BREAKING
Jipatie mashine mbalimbali za Kilimo na Ufugaji kwa gharama nafuu.
■ Mashine moja inayosaga na kukoboa.
■ Mashine ya kumenyea Mahindi.
■ Mashine ya kupukuchukua Mahindi.
■ Mashine ya...
Ni nyumba yenye vyumba vitatu, viwili vikiwa ni master pamoja na sebule na dining room. Eneo Lina ukubwa wa MITA 70 kwa 21, kuna eneo la shamba kama linavyoonekana kwenye picha.
Bei yake ni nafuu...
Habari wanajukwaa,
Wale wataalam wa kushona nguo za aina mbalimbali za kiume na za kike uzi wenu huu muanze kuonyesha kaz zenu mbali mbli na mikoa mliyopo.
Eneo kubwa heka 18 za ardhi kandokando ya ziwa viktoria lenye mifugo, vizimbwi vya samaki,malambo linauzwa kwa usd 300000 piga simu 0739290084 au 0622290084. Bei inaweza kupungua. Ni zuri kwa...
Kwa wale wanaohitaji baibui kwa jumla na rejareja kuanzia bei ya 8k, 10k nakuendelea tuwasiliane 0712094550 tunapatikana JENGO LA MACHINGA COMPLEX KARUME DSM. KARIBUNI SANA 0712094550
dryer ni 150,000. ina miezi 6 risiti ipo na boksi lake
stima ni 80,000 imetumika kimtindo
Viti viwili 100,000(vya kisasa)
stendi ya kuoshea nywele 40,000
kabati la chini ya kioo 70,000...
Mafanikio yanaanzia kwenye akili yako. Leo ninakushirikisha mambo mawili ambayo yanaweza kukuumiza. Endapo yatakuumiza pole na utanisamehe kwa hilo. Kusudi kuu la makala hii ni kuonyesha njia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.