Kiwanja kiunauzwa kipo madale kina uku wa square meter 520 Tsh 9,000,000 kina barua ya manunuzi kutoka serikali ya mtaa huduma zote za kijamii zipo Tuwasilane 0686995586 karibu sana.
Nina Kamera mbili nilinunua nikiwa naanza kujifunza maswala ya picha, kwa sasa sizitumii, bado ziko kwenye hali nzuri sana, nauza kwa bei ya kutupa.
Sony nex-6
Iko na chaji yake na kit lens...
Viwanja vitatu vipo pamoja vinauzwa Mkundi - Morogoro.
Vilipo: Unaingilia Shule ya Green City ni kama 2KM. Kutoka Mjini mpaka ilipo Green City ni kama 10KM. Kwa hiyo ni kama 12KM kutokea mjini...
Kuna page Instagram nimekuwa nikivutiwa na viatu vyao lakini nikitaka kutoa order wanasema wanauza jumla na sio rejareja.
Mwenye uelewa anisaidie jinsi naweza kununua pairs chache kwa ajili ya...
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako...
NYUMBA inapatikana maeneo ya KITUNDA
Ina chumba kimoja, sebule na choo ndani.
Kutoka Banana unapanda gari za KITUNDA
Ina tiles na gypsum
Mazingira mazuri
Maji na umeme unajitegemea
Kodi kwa mwezi...
Nauza Camera yangu aina ya lumix s5. Niliinunua ikiwa mpya na nimeitumia kwa muda wa mwaka mmoja. Haina tatizo lolote na iko kwenye hali safi sana. Ni nzuri sana kwa ajili ya kufanyia video...
Habari wana JF
Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi inauzwa pamoja na vifaa vyake ikiwemo sehemu ilipofungiwa umeme wa three phase, maeneo ya Dar Es Salaam, Gongo la Mboto. Mashine ina miezi 10...
Heri ya siku mpya wakuu.😊
Habari za wakati huu
Kwa Mahitaji ya Vyombo vya nyumbani, with best Quality kwa bei rafiki karibuni dollrubii_decors
Napatikana Dar es salaam
Tunafanya delivery
Mikoani...
Kwaza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa Mungu na pia kwa mtu alienisaidia humu JF nikapata kazi.
Sasa nataka kuuza simu yangu infinix hot 7 180000 ili niweze kupata nauli ya kazini...
Habar za wakati huu wakuu?
Nashkuru kwa wote ambao mmeendelea kutuamini na kufanya kazi na sisi nimeuza simu na tablet nyingi sana humu Asanteni kwa sapoti yenu kubwa
Fursa nilizo nazo kwenu...
Kwa yoyote atakaye Hitaji "Fiber Optic Patch Cord" kama unatumia Fiber Internet popote pale ulipo ndani ya Mipaka ya Tanzani, tuwasiliane 0715 240 140.
Kwa matatizo yote ya TV, ( iwe imezima ghafla, imeungua taa, kioo haikionyeshi, picha ina vibrate, inaonyesha nusu n. K) karibu, tukudumie kwa gharama nafuu, kwa wakazi wa dar popote tunakufikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.