Nina uhitaji wa Subwoofer kwa matumizi binafsi (nyumbani). Kama mnavyojua siku hivi kuna kampuni nyingi au aina kedekede za kichina zinazotengeneza hizo bidhaa.
Hivyo naomba mwongozo kwa...
Nauza chupi za cotton kwa bei ya jumla mzgo umetoka China
Location: dar es salaam
Bei negotiable kutokana na idadi unazotka si chini ya pc 100 nauza
0753595520
HISA ZA KAMPUNI BINAFSI
Hisa za kampuni binafsi ni hisa zinazomilikiwa na watu wachache ambao wamealikwa na kampuni kushiriki katika umiliki wake. Kampuni binafsi mara nyingi hazina nia ya...
Eneo la nusu heka na boma lake linauzwa
Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. ya Sim bani
Eneo Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining...
Aina: Boss
Hali yake: Nzuri sana
Bei: 550,000
Lilipo: Dar es Salaam
Mawasiliano:- 0675341515
NB:
FREEZER HAINA SHIDA YOYOTE NA WALA HAIMJUI FUNDI. NAIUZA KWASABABU SINA Matumizi nayo kwa sasa
Tunafanya makazi kuitwa nyumbani[emoji3]
Pendeza makazi yako, ofisi yako na Emperor wallpaper bora kabisa kutoka kwetu
Wallpaper imara na zenye kudumu
Utazipata roller kwa tsh 75,000 tu
Roller 1...
kiwanja kiko Bunju A, Kinondo. Mpakani mwa Madale na Mbopo
ukubwa ni hatua 22 kwa 25
dakika 10 kwa Boda kutoka Bunju Shuleni
Kimehakikiwa na namba ya uhakiki ipo (hati bado)
Kinafikika kwa...
- Jipatie Canal+ HD decoder uweze kuona ligi mbalimbali kwa sh 150,000 (ikijumuisha ufundi)
- Utaweza kuona ligi za Uingereza (EPL), Bundesliga, Serie A, Ufaransa (League 1), Laliga, UEFA, uropa...
Nauza pikipiki yangu,
Aina: Sinoray
Cc: 125.5
Muda: Nimeitumia mwaka mmoja kwa shughuli zangu binafsi,
Ni nzima sijawahi kufungua engine
Price: 900,000Tsh
Location: Dar es Salaam, Mbezi
Habari,
Hii gari aina ya volkswagen Golf, engine yake imenok inahitaji ovehaul.
kwa anaehitaji tuwasiliane 0626947625
Gari ipo Mbezi Beach- Shule
Price ni 3.3m
Nahitaji gari aina ya Toyota Voltz yenye sifa zifuatazo:-
1. Haijawahi kupata ajari.
2. Hijarudiwa rangi
3. Millage isizidi 70,000 Kilometers
4. Namba D
5. Iwe ni Automatic
6. Iwe na AC
7...
Habari zenu wakuu poleni na kazi za hapa na pale,
Ninapenda kuwataarifu wafanya biashara wa mazao hasa wanunuzi na wahitaji wa mazao kama Soya beans (inapatikana Malawi), karanga( nyekundu na...
Wale wazee wa kupenda Privacy na Bata wa Kimyakimya, this is the place to be. Hii sehemu ipo Somangila- Kichangani, Kigamboni.
Trust me wana huduma za kipekee na gharama poa sana kwa msosi na...
Habari zenu wana jamvi, kwa wenye kuhitaji karanga kuanzia tani 4 na kuendelea wanakaribishwa saana, kwa aliye tayari naomba tuwasiliane PM. Mimi kwa sasa napatikana kaliua Tabora, popote Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.