Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kipo kama meter 150 toka kwa Makamba tegeta njia panda ya wazo hill. ukubwa ni nusu eka ,hakijapimwa ila kina documents zote halali. bei ni 20million pungufu unaongea. call 0715314911/0784314911.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
lipo lugwadu 3km frm main road ya kwenda kongowe panaitwa mwembe mtengu ni kituo karibu na alipojenga waziri mkuu pinda huku kigamboni. Kwenye shamba utapata mchanga mzuri wa kujengea naouza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, Gari Ssangyong Korando Jeep KJ6 ya 1990,Diesel,Manual transmission 5 gear,LHD,Lina hali nzuri na linatembea linauzwa.Lina power windows,4WD,2.3lt engine,metal grey colour. very peworful...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wana wa JF natafuta engine ya M/benz model ya 102, mwenye nayo au mwenye taarifa tuwasiliane tafadhari iwe katika hali nzuri. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Year: 2001, 4x4, 3.0L, 97miles, Automatic, Petrol. 5 Doors, Automatic, Estate, Petrol, 97,000 miles, Metallic Grey, CD Multichanger, Alloy wheels, Multi function steering wheel, Cruise control...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tractor linauzwa aina ya Massy ferguson model 158 lipo sinza shule ya mapambano kwa maulizo zaid piga 255778481958 au ni pm tractor lenyewe ilo hapo juu
0 Reactions
8 Replies
5K Views
bagamoyo inter-colleges night karibuni wote bagamoyo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
250 gb hdd 3 gb ram 17.3 lcd screen hp dvd rom hdmi,webcamera,3 usb port,5 in 1 card reader bei 950 000 tu pm ukihitaji
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wapendwa nisaidieni ni wapi wanauza apertment?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
wandugu sijawa kutuma hizi gari wenye uzoefu naomba kujua lipi bora kwa matumizi ya Tz hasa DAR ES SALAAM, nina ka baloon linanipa hasara ya mafuta sana, nataka niagize dogo kati ya haymawili...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
waungwana habar za asubuhi,im university student,..natafuta room la kuishi sehemu yoyote near MUHIMBILI...If u knw any plz help me or ni_PM
0 Reactions
0 Replies
809 Views
SABABU YA KUUZA =NIMEFULIA TATIZO KUBWA ILIYONALO=NILIIBIWA INTERNAL CABLE CHARGER NIMEBAKIWA NA EXTERNAL CHARGER! (kama utaitaka internal charger zinauzwa elfu 15.) INA SPECIFICATION HIZO HAPO...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam! Natafuta wanunuzi wa asali mbichi kutoka tabora. Nauza kuanzia lita 20 na kuendelea. Tafadhali ni pm kama unahitaji au kama una maoni au msaada wowote. Asanteni sana
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ebwana wadau nauza brand new ipad two from japan pia kuna simu za kijanja kama sony erickson expelia call +255 716 567 467
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nina m 9 nataka harrier yenye 2000cc yenye hali nzuri, ninaweza pata au nijipange upya? ntashukuru kwa ushauri wenu
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Hdd 500GB,Processor2.3GHz,RAM4GB .bei laki nane na themanini,haipungui hata mia.0655945598
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakubwa, Mzigo mpya wa blackberry curve mpya unaingia leo jion. Bei ni 250000 Piga 0655003510 au 0753196849 kuweka order mapema.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wandugu, Katika pita pita za hapa na pale nikaisahau Blackberry(curve 3g) yangu kidogo kama kawaida watu wakaiona dili wakaibeba. Inaniuma kwani ina miezi mitatu tu toka niinunue Tigo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Shamba kubwa la ekari 10, lipo eneo la Kibamba Kibwegere kama kilomita 5 toka barabara ya Dar - Morogoro. Lipo karibu kabisa na mto Mpiji na ardhi yake ni nzuri kwa kilimo cha aina zote. Pia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba mnifahamishe bei ya nokia x7 na nokia 5800 express music mpya na mnishauri ipi bomba kati ya hizo hususan kwenye matumizi ya internet
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…