Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kinauzwa Bunju, SQM.1064 kina hati bei maelewano. Hamna dalali piga 0767210785
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nauza blackberry Bold 9700 kwa Tshs. 450000/= zipo kwenye hali nzur sana. Mteja serious anicheki kupitia 0753196849 au 0655003510
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Anayeuza ipad 3 na simu aina ya HTC au sehemu zinapopatika Dar anijuze.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajanvi, kwa heshima nawasalimu wote. Nimekuwa nikiandaa kitabu cha somo la economics kwa adanced level muda mrefu. Nimeanza kwa kutoa HANDBOOK of Economics Today ambapo mpaka sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Habari za leo? Kwa mtu ambaye anahitaji kiwanja Bunju B naomba tuwasiliane. Kiwanja ninachokiuza kiko Block 13 njia ya Kwenda Mabwe Pande. Umbali ni kilomita 2.5 toka barabara kuu iendayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Napenda kuwatangazia wakazi wa Yombo, Kilakala, Buza, Makangarawe, Uwazi, Relini, Davis Kona, Mcharingeni, Machimbo, na vitongoji vyake waliokuwa wanahangaika siku zote kwenda HUKO MJINI KATI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu mwenye kioo cha sony ericson w980 nahitaji kiwe bomba zaidi
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Natafuta Nadia, isiwe ya Engine D4. Mwenye nayo,aweke picha hapa, na anipe bei yake ya mwisho. mimi ni dalali, niwe muwazi. au tuma ujumbe au kupiga simu 0763 894508.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aina ya computer ni DELL(D630) na ina zigezo vifuatavyo; HARD DISK 80GB PROSCESSOR INTER(R) CORE(TM)2DUO CPU TZ7250@2.00GHZ MEMORY(RAM) 1.00GB DVD RW DRIVE,WIRELESS NA BLUETOOTH. INA GARANTEE YA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza photocopy machine ir 1600 kwa sh.1,100,000.00 ni nzuri imetumika kidogo sana toka itumiwe Ulaya(ni mtumba) Ni[igie 0788133174
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu kuna matractor yanauzwa kwa ajili ya kilimo kutoka uingereza yapo katika hali nzuri kabisa na bei poa, kama tunavyojua hakuna ushuru bandari kutoa vifaa vya kilimo kama tractors kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kina ukubwa mita za mraba 800 au 40 kwa 20.Sea view ukiwa hapo katika kiwanja unaitazama bahari Kina hati miliki.Bei 19mil. Maelewano yapo. 0717114409
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HP Compaq dc7600 Convertible Minitower Intel Pentium 4 CPU 3.20GHz (2 CPUs) 1024MB RAM 300 GB HDD Ms Windows XP Professional Service pack 2 2 DVD ROMs Pamoja na: Monitor Dell 17 Inch...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
anayehitaji ani PM faster...bei si issue cha msingi kuiuza
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kioo cha E system.ft 13.3 widescreen.mwenye nacho achek nami on 0717561056
0 Reactions
3 Replies
976 Views
Wadau nimeambiwa kuna mtu anauza Universal moderm ambayo naweza kutumia laini yoyote..Kama ipo contact zako tafadhali usisahau kunitupia na gharama ya mzigo wenyewe Thanks
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF nauza gari yangu aina ya L/Rover Discovery Engine TDI 200 ya mwaka 1993. gari ipo DSM ipo katika hali nzuri inatembea. wasiliana nami kwa namba 0715 315496
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wandugu nauza gari aina (daladala) aina ya ford mwaka 1992 ina hali nzuri bei maelewano picha hapo engine diseal kuna spare ingine na gear box nyingine
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Member wanahitajika kwa mradi unaotarajiwa kuanza haraka mkoani morogoro. Fika ofisini kwetu Tabata Aroma kwa maelezo zaidi au piga simu # 0715922392, 0767922392, 0714025656, 0767025656, au email...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Poleni na majukumu wapendwa wana JF wote. Ninatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Kinondoni (Moroco au hapo block 3 karibu na biafra).Kwa yeyote mwenye taarifa au ana chumba anapangisha naomba...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom