Wataalamu naombeni ushauri. mimi kwa hela niliyo nayo siwezi agiza gari nje sana sana nitachukua showrooms au nitamvua mtu. sasa nishaurini ni vitu gani vya msingi natakiwa kuwa makini navyo hasa...
Iwe aina yoyote, ili mradi ina sauti nzuri isiwe na matatizo yyte, tsh 45000/= ninayo mkononi. Call 0784320993 au 0757922293 nko igunga tabora . Thanks
habari wana JF,
Blackberry Curve 8520 kwa 250,000 pamoja na protective housing bure.
Na Blackberry Curve 9300 3G kwa 320,000
Piga 0655003510.
karibuni sana
Wadau kuna Beach plot ekari 100 inauzwa Mtwara (inapakana na eneo alilonunua Waziri mwenye dhamana ya mishahara ya wafanyakazi wa serikali).
Inauzwa sh. 100,000,000 Tshs kwa jumla.
Kipo kama meter 150 toka kwa Makamba tegeta njia panda ya wazo hill.
ukubwa ni nusu eka ,hakijapimwa ila kina documents zote halali.
bei ni 20million pungufu unaongea.
call 0715314911/0784314911.
lipo lugwadu 3km frm main road ya kwenda kongowe panaitwa mwembe mtengu ni kituo karibu na alipojenga waziri mkuu pinda huku kigamboni. Kwenye shamba utapata mchanga mzuri wa kujengea naouza...
Wadau,
Gari Ssangyong Korando Jeep KJ6 ya 1990,Diesel,Manual transmission 5 gear,LHD,Lina hali nzuri na linatembea linauzwa.Lina power
windows,4WD,2.3lt engine,metal grey colour. very peworful...
Tractor linauzwa aina ya Massy ferguson model 158 lipo sinza shule ya mapambano kwa maulizo zaid piga 255778481958 au ni pm
tractor lenyewe ilo hapo juu
wandugu sijawa kutuma hizi gari wenye uzoefu naomba kujua lipi bora kwa matumizi ya Tz hasa DAR ES SALAAM, nina ka baloon linanipa hasara ya mafuta sana, nataka niagize dogo kati ya haymawili...
SABABU YA KUUZA =NIMEFULIA
TATIZO KUBWA ILIYONALO=NILIIBIWA INTERNAL CABLE CHARGER NIMEBAKIWA NA EXTERNAL CHARGER!
(kama utaitaka internal charger zinauzwa elfu 15.)
INA SPECIFICATION HIZO HAPO...
Salaam!
Natafuta wanunuzi wa asali mbichi kutoka tabora.
Nauza kuanzia lita 20 na kuendelea.
Tafadhali ni pm kama unahitaji au kama una maoni au msaada wowote.
Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.