Wanajanvi, kwa heshima nawasalimu wote.
Nimekuwa nikiandaa kitabu cha somo la economics kwa adanced level muda mrefu. Nimeanza kwa kutoa HANDBOOK of Economics Today ambapo mpaka sasa...
Wakuu,
Habari za leo? Kwa mtu ambaye anahitaji kiwanja Bunju B naomba tuwasiliane. Kiwanja ninachokiuza kiko Block 13 njia ya Kwenda Mabwe Pande. Umbali ni kilomita 2.5 toka barabara kuu iendayo...
Napenda kuwatangazia wakazi wa Yombo, Kilakala, Buza, Makangarawe, Uwazi, Relini, Davis Kona, Mcharingeni, Machimbo, na vitongoji vyake waliokuwa wanahangaika siku zote kwenda HUKO MJINI KATI...
Natafuta Nadia, isiwe ya Engine D4. Mwenye nayo,aweke picha hapa, na anipe bei yake ya mwisho. mimi ni dalali, niwe muwazi. au tuma ujumbe au kupiga simu 0763 894508.
Aina ya computer ni DELL(D630) na ina zigezo vifuatavyo;
HARD DISK 80GB
PROSCESSOR INTER(R) CORE(TM)2DUO CPU TZ7250@2.00GHZ
MEMORY(RAM) 1.00GB
DVD RW DRIVE,WIRELESS NA BLUETOOTH.
INA GARANTEE YA...
Ndugu zangu kuna matractor yanauzwa kwa ajili ya kilimo kutoka uingereza yapo katika hali nzuri kabisa na bei poa, kama tunavyojua hakuna ushuru bandari kutoa vifaa vya kilimo kama tractors kwa...
HP Compaq dc7600 Convertible Minitower
Intel Pentium 4 CPU 3.20GHz (2 CPUs)
1024MB RAM
300 GB HDD
Ms Windows XP Professional Service pack 2
2 DVD ROMs
Pamoja na: Monitor Dell 17 Inch...
Wadau nimeambiwa kuna mtu anauza Universal moderm ambayo naweza kutumia laini yoyote..Kama ipo contact zako tafadhali usisahau kunitupia na gharama ya mzigo wenyewe
Thanks
Wana JF nauza gari yangu aina ya L/Rover Discovery Engine TDI 200 ya mwaka 1993.
gari ipo DSM ipo katika hali nzuri inatembea. wasiliana nami kwa namba 0715 315496
habari wandugu nauza gari aina (daladala) aina ya ford mwaka 1992 ina hali nzuri bei maelewano picha hapo engine diseal kuna spare ingine na gear box nyingine
Member wanahitajika kwa mradi unaotarajiwa kuanza haraka mkoani morogoro. Fika ofisini kwetu Tabata Aroma kwa maelezo zaidi au piga simu # 0715922392, 0767922392, 0714025656, 0767025656, au email...
Poleni na majukumu wapendwa wana JF wote.
Ninatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Kinondoni (Moroco au hapo block 3 karibu na biafra).Kwa yeyote mwenye taarifa au ana chumba anapangisha naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.