kwa yeyoye mwenye kuhitaji kupangisha hiyo nyumba anipm kwa maelekezo zaidi
ni nyumba ya vyumba vinne, ina sitting room kubwa, jiko na choo cha ndani, pia na cha nje. maeneo ni
tabata mawenzi.
nyumba ya kupangisha inahitajika mwishoni mwa mwezi huu....iwe na vyumba vitatu au viwili vya kulala...
maeneo ya tabata, sinza, mwananyamala, kinondoni,....
kodi:250000 - 300000/- kwa mwezi...
ina window 7 32bits, Duo cuo processor, inbuilt with bluetooth, wifi, internalcellural phone, RAM 1GB, HDD 80GB, battery charge up to 0130hrs. Bei shs 380,000 only niko kawe dar, call me 0717 312184
Hello wadau wa jf, natafuta laptop used lakini iliyo kwenye hali nzuri, nipo Dar naomba kama kuna duka sehemu zinauzwa mnishauri
nawakilisha
Mpiganaji
kinondoni.
Wadau natafuta vyumba viwili na sebule vya kuishi mitaa ya kinondoni Ada estate,manyanya,biafra.Mwenye kujua vinapatikana please anipe namba yake ya sim hapa
Habari zenyu bhana,nipo Dar es salaam,naomba mtu yeyote anayeuza MINI LAPTOP YA DELL INSPIRON AU HP AU ACER ASPIRE ONE ani-tafute kupitia 0715404808 just the sms or call usibeep.OFFER yangu ni...
Habari zenyu bhana,nipo Dar es salaam,naomba mtu yeyote anayeuza MINI LAPTOP YA DELL INSPIRON AU HP AU ACER ASPIRE ONE ani-tafute kupitia 0715404808 just the sms or call usibeep.OFFER yangu ni...
Kama kuna anayejua mtu anauza Vitz iwe ya mwaka 2001 nakuendelea juu i.e 2002 na iko kwenye hali nzuri awasiliane na mimi tufanye biashara. iwe chini ya cc 1000. Bei isizidi. contact zangu ni...
THE PRIMERA IS IN STUNNING CONDITION INSIDE AND OUT- VERY ECONOMICAL I AVERAGE 38 MPG FOR THE LAST 3000 MILES AND THATS URBAN JOURNEYS MAINLY- LOW MILEAGE ON THE CLOCK- LOW INSURANCE GROUP- REALLY...
Car for sale: Subaru forester sg5, 2004 model, imported in august 2011, full registered. For ths 20 mil only. Any serious interested buyer call me through 0614 109 566
naomba mwenye kujua mahali pa kupata engine ya chaliot, au mwenye ushauri mbadala, kwani naona kagari kangu kanatoa moshi na maplug yanalowe bila mpango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.