NATAFUTA kIYOYOZI (AIR-CONDITION) USED KILICHO KATIKA HALI NZURI KIWE CHA AINA YOYOTE ILA IWE NA HOSE POWER MOJA MPAKA MOJA NA NUSU
MAWASILIANO 0719 731315 /0786 544788
Wakuu,
Nimeangalia hii gari kwenye mtandao ina Muonekano mzuri sana kwa Nje Na Ndani.
Bei yake ni affaordable. less than 10m you can have the car kama wewe ni mjanja wa ku burgain kule Tradecar...
Je wewe ni mwajiriwa / mwajiri/mwanafunzi/mzazi/shule/chuo? UNATAKA AJIRA? Nununua DVD ikufundishe masomo yenye thamani sana tena kwa muda wako wakati ukiendelea na shughuli zako bila kwenda...
Jamani habari zenu, nahitaji gearbox ya Mitsubishi Chariot, Full time four wheel drive, mwenye nayo please contact me. mind you hii siyo grandis ni model kabla ya hiyo
Asanteni
Nyeupe ,zina onyesha umbali kutoka "object"
zina piga pia alarm
Zipo 4
manual ipo
michoro elekezi pia ipo
picha zimeambatanishwa
simu:0754964911
bei 120,000tzs (maelewano yapo)
Premio manual ya mwaka 2000 1587cc, imetembea 74582kms inauzwa bei ni Tshs 9.5ml. Ipo katika hali nzuri sana kiujumla na haina historia ya ajali. Inapatikana Arusha, kwa atakuwa tayari kununua...
Blackberry curve 8310 Unlocked inauzwa, just insert any gsm sim card and start using
ni used lakini ipo kwenye hali nzuri sana, like new one
Imewekwa opera mini kwa matumizi ya kubrowse tu...
Kipo eneo la Kwembe _ Mbezi/Kibamba panaitwa Kwembe Kati, Maduka sita - lipo kama 3km from Morogoro Road. Halijapimwa lipo nje ya eneo la mradi, umeme umepita kiwanjani. source: jamaa tu nlikutana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.