Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzur na kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam,ukifika mbezi ya...
kwa anetaka uwakala wa airtel
money piga hizi namba
0717474257 (usishangae namba ni
ya tigo .mi nimeajiriwa .hvyo
naendelea kutumia namba yangu ya
tigo though workng 4 airtel) .kinacho...
Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzuri,kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam ukifika mbezi ya...
Kama unahijat ku DESIGN NYUMBA YAKO.
I do INTERIOR DESIGNING,
* 3d Image of your House
* 2d + Floor Plan of your House
* Realistic look of your future house.
I am interior designer (not...
Nyumba inauzwa,ipo mbezi luguluni ina vyumba 4, viwili master na viwili vina public toilet,sebule,jiko,stoo,dining na mazingira mazuri kwa nje (geti)
bei ni tshs millioni 80
wahi mapema
piga...
Wakuu,
HTC Chacha iko sokoni, nimeinunua mpya nimeitumia miezi 4 iko katika hali nzuri inafanya kazi kama kawaida.
Bei ni Tsh. 550,000
Vifaa vyake vilivyokuja navyo ni
1. Charger
2. Get started...
Naomba ushauri kwa wenye uelewa wa magari, kati ya toyota landcruiser prado na toyota harrier(4cylinder) zote za kati ya miaka 1998-2001, ipi ni bora kwa matumizi ya dar, angalau mara mbili kwa...
Rav 4 inauzwa sh. milioni sita (6)
Rangi: green
3 doors
Year: 1995
Iko katika hali nzuri.
Ukitaka kuiona inapatikana maeneo ya posta mpya karibu na haidery Plaza. Simu no 0714600366 au 0756 825713
Kwa ndugu zangu wana jf wote kwa wenye nia ya kujenga, Pata viwanja vilivyo pimwa maeneo ya Mwanagati square meter 500 kwa tsh 14m,square meter 1500 tsh 25m kuna maji na umeme vipo viwanja 8 tu...
Habari zenu wadau,kwa mtu yeyote anaehitaji kiwanja kinapatikana Tbt Segerea jirani kabisa na kuingia barabara kuu ya lami,sehemu ni nzuri na magari yanaingia na kutoka kirahisi kwenye uhitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.