msaada kwa yeyote anaejuwa viwanja/kiwanja nnahitaji kununua jaman niondokane na adha ya kupanga,bei isizidi 2m mana kutokana na mshahara wangu naruhusiwa kukopa kiasi kidogo tu.maeneo ya ubungo kibabgu,kitunda,bunju,kokote sichagui ili mradi miundo mbinu iwe ishaanza kufikiwa,
Natanguliza shukrani
waweza wasiliana nami kwa
doimwanza@yahoo.com
Natanguliza shukrani
waweza wasiliana nami kwa
doimwanza@yahoo.com