Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninauza iphone 3gs. Ni used ila ipo kwenye hali njema. Bei ni 350000. kwa anaehitaji ani pm.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Looking for a webdesigner, Not just a web designer but a good one, kama vipi nitumie PM tufanye mchakato
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Two-bedroom apartments located in Mbezi Beach are now up for rent. These are newly constructed apartments that have not been occupied before. Each apartment features an open-plan sitting-cum...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kipo twangoma km17 kutoka ferry kina ukubwa wa mita za mraba 984. kimepimwa na kina hati halali. mbele kina open space kubwa inaweza kutumika kwa bustani ya mbogamboga kinafikika vizuri. kipo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajanvi msaada wenu unaitajika,mwenye contact na hawa watu 1.Betson Gosbert aka mwalimu huyu ni ndugu yangu ila tumepotezana naye wakati anamaliza UDSM 2.Veronica James Temu nina cheti chake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba mwenye kujua mahali pakuzipata hizi mashine anidokezee, ikiwezekana na bei pia.
0 Reactions
4 Replies
8K Views
nahtaji blenda yenye uwezo wa kuchuja matunda kuwa juice bila kutegemea umeme.zinapatkana duka gani mkoani mbeya?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar zenyu jf napenda kuwajulisheni kwamba ninauza solar ya watt 80 pamoja na bettry yake na inverter bei cheap.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Resonate Consulting Group Limited (RCG) has organized a 6-day Intensive program geared toward developing knowledge and practical skills necessary to perform ICT Audit, Risk Management and...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Shamba lenye ukubwa wa eka tisa linauzwa, lipo katika kijiji cha kurege, kijiji cha pili toka Bunju. Shamba hili linapakana na barabara ya lami. Lina nyumba mbili. Pia na msingi wa kujenga...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari! natafuta kiwanja maeneo ya Buyuni kiwe cha kama sqm 1200 hivi. Asante
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Salaam wandugu.Mwenye modem iliyochakachuliwa nahitaji kwa ajili ya kununua.MWENYE NAYO ANI-pm
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau habari za jioni..naomba msaada kwa anayejua bei ya Sam sung Galaxy Tab kwa Dar na ni duka gani naweza kuipata bila kuwa imechakachuliwa. asanteni sana.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nokia n8 used kwa miezi 6 inauzwa kwa 450,000 shs ipo kwenye good condition haina matatizo yoyote.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta gari suzuki old model hardboard yenye hali nzuri iwe van milango miwili hata pickup yake
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nahtaj sch.kwa ajili ya wanangu sifa maadili elm bora na iwe mby au iringa.o-level
0 Reactions
0 Replies
876 Views
nahtaj sch.kwa ajili ya wanangu sifa maadili elm bora na iwe mby au iringa
0 Reactions
0 Replies
873 Views
HELLOO JF!!!! I hope mko powah membersss Am sellling my blackberry 8310 only for 200,000 i have just used only for one month!!!! its in very good condition HERE ARE ITS PHOTOS...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza blackberry curve toka uk, ipo poa sana imetumika kama mwezi mmoja ivi, kama upo intrested ni PM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natumaini nimeweza ku-attach tangazo langu. Ni kitabu kizuri chenye kuelimisha pia juu ya athari za dawa za kulevya kwa namna ya hadithi. Karibuni mniunge mkono.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom