Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wandugu sijawa kutuma hizi gari wenye uzoefu naomba kujua lipi bora kwa matumizi ya Tz hasa DAR ES SALAAM, nina ka baloon linanipa hasara ya mafuta sana, nataka niagize dogo kati ya haymawili...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
waungwana habar za asubuhi,im university student,..natafuta room la kuishi sehemu yoyote near MUHIMBILI...If u knw any plz help me or ni_PM
0 Reactions
0 Replies
806 Views
SABABU YA KUUZA =NIMEFULIA TATIZO KUBWA ILIYONALO=NILIIBIWA INTERNAL CABLE CHARGER NIMEBAKIWA NA EXTERNAL CHARGER! (kama utaitaka internal charger zinauzwa elfu 15.) INA SPECIFICATION HIZO HAPO...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam! Natafuta wanunuzi wa asali mbichi kutoka tabora. Nauza kuanzia lita 20 na kuendelea. Tafadhali ni pm kama unahitaji au kama una maoni au msaada wowote. Asanteni sana
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ebwana wadau nauza brand new ipad two from japan pia kuna simu za kijanja kama sony erickson expelia call +255 716 567 467
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nina m 9 nataka harrier yenye 2000cc yenye hali nzuri, ninaweza pata au nijipange upya? ntashukuru kwa ushauri wenu
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Hdd 500GB,Processor2.3GHz,RAM4GB .bei laki nane na themanini,haipungui hata mia.0655945598
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakubwa, Mzigo mpya wa blackberry curve mpya unaingia leo jion. Bei ni 250000 Piga 0655003510 au 0753196849 kuweka order mapema.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wandugu, Katika pita pita za hapa na pale nikaisahau Blackberry(curve 3g) yangu kidogo kama kawaida watu wakaiona dili wakaibeba. Inaniuma kwani ina miezi mitatu tu toka niinunue Tigo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Shamba kubwa la ekari 10, lipo eneo la Kibamba Kibwegere kama kilomita 5 toka barabara ya Dar - Morogoro. Lipo karibu kabisa na mto Mpiji na ardhi yake ni nzuri kwa kilimo cha aina zote. Pia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba mnifahamishe bei ya nokia x7 na nokia 5800 express music mpya na mnishauri ipi bomba kati ya hizo hususan kwenye matumizi ya internet
0 Reactions
3 Replies
3K Views
kwa daresalaam machine hizi zinapatika wapi? na bei zake..... hivi kuna duka linaluoza hizi still????????
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu JF, Naomba mwenye kufahamu designers wa kitchen na counters anijuze. Nataka kufungua restaurant, nipo Dar es salaam. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nawasalimu wana JF, Tafadhali naombeni muongozo wa namna ya kufungua ofisi ya dry cleaner,(ninatakiwa niandae vifaa gani na mazingira yaweje i.e ukubwa wa ofisi n.k) ni juzi tu kamji ketu huku...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu natafuta chumba cha kupanga katika maeneo ya k/koo, upanga, ilala au mabibo aliyo na taarifa anitaarifu kwa ku PM au e-mail yangu hapa hapa Waheshimiwa ni urgent kweli kweli. Hata kikiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta private school nzuri,yenye lengo la kufaulisha zaidi ifanyekazi na mimi.Elimu ya ngu Barchelor of Edu' (arts) hist/geog.Chuo nilichosoma,Mwenge university college of edu'.MAWASILIANO...
0 Reactions
1 Replies
975 Views
Leo ni siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Ninamtakia Birthday njema na Mungu amzidishie siku za kuishi duniani, neema, rehema na busara za...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
NATAFUTA GARI SUZUKI SJ410,413,415 OLD MODEL HARDBOARD YENYE HALI NZURI Tafadhali naomba msaada wenu sio VITARA wala ESCUDO Iwe SAMURAI old model
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Dear all Natafuta Gari ya kutembelea hapa Mujini na Isizidi 4M Wajameni nisaidie
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jf, nina fuso yenye uwezo wa kubeba tani 10. Natafuta tender ya kufanya kazi inayolipa. Haijalishi inaenda wapi tanzania hii. Japo safari za karibu na dar zinapewa kipaumbele. Mwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom