wandugu sijawa kutuma hizi gari wenye uzoefu naomba kujua lipi bora kwa matumizi ya Tz hasa DAR ES SALAAM, nina ka baloon linanipa hasara ya mafuta sana, nataka niagize dogo kati ya haymawili...
SABABU YA KUUZA =NIMEFULIA
TATIZO KUBWA ILIYONALO=NILIIBIWA INTERNAL CABLE CHARGER NIMEBAKIWA NA EXTERNAL CHARGER!
(kama utaitaka internal charger zinauzwa elfu 15.)
INA SPECIFICATION HIZO HAPO...
Salaam!
Natafuta wanunuzi wa asali mbichi kutoka tabora.
Nauza kuanzia lita 20 na kuendelea.
Tafadhali ni pm kama unahitaji au kama una maoni au msaada wowote.
Asanteni sana
Habari zenu wandugu,
Katika pita pita za hapa na pale nikaisahau Blackberry(curve 3g) yangu kidogo kama kawaida watu wakaiona dili wakaibeba. Inaniuma kwani ina miezi mitatu tu toka niinunue Tigo...
Shamba kubwa la ekari 10, lipo eneo la Kibamba Kibwegere kama kilomita 5 toka barabara ya Dar - Morogoro.
Lipo karibu kabisa na mto Mpiji na ardhi yake ni nzuri kwa kilimo cha aina zote.
Pia...
Nawasalimu wana JF,
Tafadhali naombeni muongozo wa namna ya kufungua ofisi ya dry cleaner,(ninatakiwa niandae vifaa gani na mazingira yaweje i.e ukubwa wa ofisi n.k) ni juzi tu kamji ketu huku...
Wakuu natafuta chumba cha kupanga katika maeneo ya k/koo, upanga, ilala au mabibo aliyo na taarifa anitaarifu kwa ku PM au e-mail yangu hapa
hapa
Waheshimiwa ni urgent kweli kweli.
Hata kikiwa...
Natafuta private school nzuri,yenye lengo la kufaulisha zaidi ifanyekazi na mimi.Elimu ya ngu Barchelor of Edu' (arts) hist/geog.Chuo nilichosoma,Mwenge university college of edu'.MAWASILIANO...
Leo ni siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Ninamtakia Birthday njema na Mungu amzidishie siku za kuishi duniani, neema, rehema na busara za...
Wana jf, nina fuso yenye uwezo wa kubeba tani 10. Natafuta tender ya kufanya kazi inayolipa. Haijalishi inaenda wapi tanzania hii. Japo safari za karibu na dar zinapewa kipaumbele.
Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.