mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
natafuta shamba, ukubwa ekari 1, maeneo ya kigamboni liwe linafikika kwa gari, pia bei iwe ya kawaida kwa mtanzania mwenye mshahara kima cha chini, sio ya mafisadi. Yaani bei yake isizidi milioni moja kwa ekari, Mwenye nalo na ambaye anakubaliana na bei hyo naomba anipm.