Natafuta Nadia, isiwe ya Engine D4. Mwenye nayo,aweke picha hapa, na anipe bei yake ya mwisho. mimi ni dalali, niwe muwazi. au tuma ujumbe au kupiga simu 0763 894508.
Aina ya computer ni DELL(D630) na ina zigezo vifuatavyo;
HARD DISK 80GB
PROSCESSOR INTER(R) CORE(TM)2DUO CPU TZ7250@2.00GHZ
MEMORY(RAM) 1.00GB
DVD RW DRIVE,WIRELESS NA BLUETOOTH.
INA GARANTEE YA...
Ndugu zangu kuna matractor yanauzwa kwa ajili ya kilimo kutoka uingereza yapo katika hali nzuri kabisa na bei poa, kama tunavyojua hakuna ushuru bandari kutoa vifaa vya kilimo kama tractors kwa...
HP Compaq dc7600 Convertible Minitower
Intel Pentium 4 CPU 3.20GHz (2 CPUs)
1024MB RAM
300 GB HDD
Ms Windows XP Professional Service pack 2
2 DVD ROMs
Pamoja na: Monitor Dell 17 Inch...
Wadau nimeambiwa kuna mtu anauza Universal moderm ambayo naweza kutumia laini yoyote..Kama ipo contact zako tafadhali usisahau kunitupia na gharama ya mzigo wenyewe
Thanks
Wana JF nauza gari yangu aina ya L/Rover Discovery Engine TDI 200 ya mwaka 1993.
gari ipo DSM ipo katika hali nzuri inatembea. wasiliana nami kwa namba 0715 315496
habari wandugu nauza gari aina (daladala) aina ya ford mwaka 1992 ina hali nzuri bei maelewano picha hapo engine diseal kuna spare ingine na gear box nyingine
Member wanahitajika kwa mradi unaotarajiwa kuanza haraka mkoani morogoro. Fika ofisini kwetu Tabata Aroma kwa maelezo zaidi au piga simu # 0715922392, 0767922392, 0714025656, 0767025656, au email...
Poleni na majukumu wapendwa wana JF wote.
Ninatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Kinondoni (Moroco au hapo block 3 karibu na biafra).Kwa yeyote mwenye taarifa au ana chumba anapangisha naomba...
NEW ERA LEARNINH CENTER ni kituo bora cha elimu ya sekondari kwa wanafunzi wa kujitegemea:
QT, IV, VI kwa miaka mitatu pia tunamadarasa ya watu wa OPEN UNIVERSITY
tupo ubungo N.H.C shule ya...
Hi wana JF wote,
Natafuta wanunuzi kuni za jumla.
Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo yalipo mashamba hayo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa...
HAYA TENA WANA JF KUNA NYUMBA INAUZWA SINZA KARIBU NA LION HOTEL IMEPAKANA NA BARABARA YA KWENDA KWA<strong> MWAIBULA.</strong> NI MAKAZI YA MTU, NA INA ENEO KUBWA PAMOJA NA MABANDA YA UWANI...
Tunatengeneza,milango,madirisha,oficepatition,wollshelf za aina yote, salon zakike nazakiume.napia tuna tengeneza display showcase za ainazote.
0652 394427.beini za kiujamaa kabisa.
Jamani nina plot nauza ipo Nyamhongoro Block B, ina ukubwa wa sq m 640 (21mx30m) ina bomba la maji na nguzo ya umeme, ina vyumba 4 , library,dining, stoo , sebule na kitchen. Nyumba iko kwenye...