Wakuu habari zenu,
Mwenye uhitaj wa asali mbichi ya nyuki wakubwa mimi ninauza.
Nipo Morogoro.
Nina asali katika madumu ya ujazo wa lita 20 na nina madumu yenye asali yapatayo 50.
Kwa yeyote...
Habari members. Za kwenu. Naomba kwa anaejua kuzipata jade plants kwa jumla yaani kilo moja na kuendelea naomba nisaidie connection. Na shida na majani ya jade plant. Najua kuna mti wake ila...
CHUMBA, SEBULE PAMOJA NA CHOO CHA NDANI KINAPANGISHWA
Chumba kikubwa ambacho kina Choo ndani pamoja na sebule yake kinapangishwa.
Kinapatikana Mbezi Mwisho karibu na stendi ya Magufuli, maeneo...
Kampuni ya Simu ya Tecno yazindua rasmi promosheni ya kufunga mwaka kwenye makao makuu yao Jijini Dar es Salaam wakiwa na balozi Kibwana Ally Shomari.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Meneja...
Nauza [emoji3053]Sandwich Machine kampuni ya Von.
Ni mpya kabisa bei ni tsh 35,000 nipo Dar es salaam Mawasiliano yangu ni 0657438581. Karibuni!
Nimejaribu ku upload picha hapa naona zinagoma...
Wanaotaka huduma ya mizigo mikubwa(bulk goods) kutoka kiwandani China pre order mzigo unaotaka utlpia 60% mzigo unakuja na meli very cheap ukifka unamlzia Nina connection na watu wa viwandani...
Ndugu zanguni nawasalimu kwa jina La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kuna jambo hapa nataka kulifanya ila ushauri wenu ni muhimu pia.
"kigoma messenger service"
Nimeipa jina hii hiyo huduma...
Vinauza viwanja kibaha Town, vimepimwa na vipo karibu na hospital mpya halmashauri ya mji Kibaha, mtaa wa Lulanzi na siyo mbali sana toka stendi mpya ya mabasi ya mwendokas Kibaha au stendi ya...
32"
Smart,
4K+HDR, LED,
Bluetooth,
HDMI 4 Ports ( at least one 2.1)..
Hata used iliyosimama sawaaa.
Nakaribisha ushauri pia kwa wajuvi,
Ni vizuri ikawa kati ya LG, SONY & SAMSUNG.
Update...
Heshima Kwenu Wadau wa Majenzi.
Natafuta Mashine ya Manual yenye kuweza Kufyatua Tofali Kubwa za Cement zenye matobo (Hollow Concrete blocks).Anayejua zinapouzwa anijuze Kwa #0786-258617 au aje...
Mimi ni muwekezaji wa viwanja vodogo na vya kati. Nilipofika wilaya ya Masasi nilishangaa kuona hakuna uwekezaji wa viwanda vidogo vidogo.
Nikaona hio ni fursa nikavamia yaani huu mwaka wa pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.