Neenda kimbo complex kuna ofisi za realestate wanao uza viwanja mapinga bei yao ni 11000@ Square metersWanaJamii,
Natafuta shamba la eka 2 au 3 maeneo ya Mapinga au Kerege. Mwenye nalo au connection tafadhali niDM. Lire Karima na line ya même na pare na uhakika wa maji ya kwa kuchimba kisima kirefu (borehole).
Dr Riwa.
Unamaanisha Kibo Complex ya Tegeta?Neenda kimbo complex kuna ofisi za realestate wanao uza viwanja mapinga bei yao ni 11000@ Square meters