Horizon Digital Accessories ni wauzaji wa Computers Tower/ Desktop kwa bei ya jumla na rejareja.
Bidhaa zetu ni nafuu na za ukakika, pia tuna uza KEYBOARD, POWERCABLE, MOUSE pamoja na SCREEN...
Ninazo soundbar za vizio 5.1
Ziko vizuri sana na full tested
Zina bass booster, soundbar na spika mbili ndogo kuongeza sauti
Bei ni 450,000/= maongezi kidogo yapo.
0765981354
Nyumba ina vyumba viwili kimoja master na choo Cha public sitting room pamoja na jiko
Kodi laki nne kwa miezi 6 (400,000)
Nyumba ipo nyuma ya stendi ya mabus ya Magufuli Mbezi
Habari za Leo wana jamii forum
Nina maeneo mawili nayauza yapo Kibaha
Kiwanja kipo maili moja(35*25) eneo linaitwa Loliondo Karibu na stand mpya
Bei ni 15M (maongezi yapo)
Nyumba ipo kibaha(eneo...
habari nauza fridge lita 109 bado mpyaa imetumika kidogo haimjui fundi hautajutia inapatikana manzese dar es salaam fridge sio kubwa sana ni futi 4 urefu bei 350000
sold sold sold sold
Karibu sana kwenye Kulasa za Dovillen Property
Facebook, Instagram, twitter, Jamiiforums nk
Kama unahitaji kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk...
Wakuu inakuaajee
Nataka nichukue Mali moja kati ya hizi zote naztaka lakini nataka nichukue moja tu naombeni ushauri ipi nipite nayo kati ya Samsung S10 plus au iPhone X plain
S10+ ram 8gb...
Wadau.
Nimebaki na kichwa tu cha Mini playstation 3 bila pad, ina cable ya HDMI na ya kuchaji pad tu.
ni used in best condition300,000 tu.
Karibuni sana.
0783985530.
Jiko limetumika miezi 4 lipo vizuri halina tatizo lolote nakupa na pipe yake ya 1.5m jamani kwa anaetaka jiko ni orignal
Kama unataka na upo serious bei yangu ni hiyo 80k nicheki kwa whatsup,txt...
Je gari yako([emoji594])imekua ikila mafuta isivyo kawaida([emoji618]), je imedabili mngurumo wake na inakosa nguvu kabisa? Hizo n dalili za gari kuibiwa masega.bas karibu tukuuzie vibuyu vya...
Hello Team, kiwanja kinauzwa Kiko njia ya kwenda Namanga, kwa wale wanaojua By pass ya Ngaramtoni Kiko karibu na hapo au CRDB ya Ngaramtoni ARUSHA. Size ni 25 kwa 25 ni meter 200 kutoka barabara...
Fundi umeme wa majumbani kama kusuka, vifaa vya umeme kama pasi, heater, oven, microwave, fridge, n.k
Ukifanikiwa kupata kazi au kuniletea mteja utapa 30% ya malipo ya mteja atakayotoa
Tuma...
Habari,
Ninanunua Magari Aina zote Used, Kama Unauza Gari Lako Unahitaji Hela Ya Haraka Nipigie Simu au nitumie picha WhatsApp nikufate Popote.
0625004475
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.