Fremu inatizama barabara, kubwa inafaa kwa biashara yoyote ile. Haihitaji matengenezo.
Kod laki 7, malipo ni miez 12. Kilemba gharama za matengenezo aliofanya mpangaji anaeachia hapo zinarudishwa...
Simu za infinix zilizopo zote ni mpya:
Hot 8 lite bei 250,000
Smart 3+ bei 290,000
Hot 7 bei 240,000
S4 bei 350,000
Simu za Tecno zilizopo zote ni mpya
Spark 2 bei 230,000
Spark 3 na pro yake bei...
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet.
Limejengwa ndani ya eneo...
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet.
Limejengwa ndani ya eneo...
Mwenye hii gari Toyota Coaster nipigie tufanye kazi.
Gari iwe na 29 seats.
Gari iwe na AC
Gari iwe registered for commercial use
Isiwe na mkanda wa route
Hesabu kwa siku ni 80,000
Nipigie kwa...
Kibanda mkokoteni, maalumu kwa kuuzia nguo.
Kinauzwa, bei poa na ni tofauti na mikokoteni yote (karibu) +255755360768 location:- arusha
sifa za kibanda hiki;
Kwanza kabisa kibanda hiki hakipo...
Muundo wake Vyumba vitatu vya kulala kmoja n master bedroom seble jiko dining stoo na choo na bafu (CommonToilet)
Huduma zote maji umeme barabara vpo site mtaa mzurii uliojengeka kisasa sanaa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi nipo Dar es salaam, nina gari canter, box body freezer, yenye uwezo wa kubeba mizigo ya baridi na ya kawaida.
Natafuta kazi halali popote hapa Tanzania...
Biashara yangu ina Jina lakini haina Logo nimekua nikiwaza kuhusu hili muda mrefu lakini sikua nalipa kipaumbele sana ila sasa naona linaelekea kuni cost huko mbeleni.
Sina pesa wakuu naommba...
Najua HAIHUSIANI SAN ILA MSAADA
Nina degree ya COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT.
[emoji419]Naitafutia uzoefu ili badae niweze kuwa na chochote kwenye CV na kuombea Kazi.
Nisaidie hata Internship tu...
Kiwanja Kinauzwa!
Mahali: Kibaha kwa Mathiasi.
Bei: Milioni 60 (kunamaelewano).
Maelezo: Kipo karibu kabisa na barabara ya kuu ya morogoro - upande wa stendi ya daladala kuelekea Ubungo...
Mwenye ako na haka kapikipiki kakiwa na usajili tayari namba D itapendeza iwe used ambayo bado piru muonekano mzuri na isiyosumbua isiyo na kipengele njoo Pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.