Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Fremu inatizama barabara, kubwa inafaa kwa biashara yoyote ile. Haihitaji matengenezo. Kod laki 7, malipo ni miez 12. Kilemba gharama za matengenezo aliofanya mpangaji anaeachia hapo zinarudishwa...
0 Reactions
6 Replies
713 Views
Simu za infinix zilizopo zote ni mpya: Hot 8 lite bei 250,000 Smart 3+ bei 290,000 Hot 7 bei 240,000 S4 bei 350,000 Simu za Tecno zilizopo zote ni mpya Spark 2 bei 230,000 Spark 3 na pro yake bei...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet. Limejengwa ndani ya eneo...
0 Reactions
7 Replies
857 Views
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet. Limejengwa ndani ya eneo...
1 Reactions
1 Replies
557 Views
Mwenye hii gari Toyota Coaster nipigie tufanye kazi. Gari iwe na 29 seats. Gari iwe na AC Gari iwe registered for commercial use Isiwe na mkanda wa route Hesabu kwa siku ni 80,000 Nipigie kwa...
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Kibanda mkokoteni, maalumu kwa kuuzia nguo. Kinauzwa, bei poa na ni tofauti na mikokoteni yote (karibu) +255755360768 location:- arusha sifa za kibanda hiki; Kwanza kabisa kibanda hiki hakipo...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wanaJF mimi ni fundi wa kuchomelea (Arc Ray Welding) mkazi wa Dar natafuta kazi ya kuchomelea yeyote mwenye connection tafadhali anisaidie..
2 Reactions
1 Replies
775 Views
Muundo wake Vyumba vitatu vya kulala kmoja n master bedroom seble jiko dining stoo na choo na bafu (CommonToilet) Huduma zote maji umeme barabara vpo site mtaa mzurii uliojengeka kisasa sanaa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi nipo Dar es salaam, nina gari canter, box body freezer, yenye uwezo wa kubeba mizigo ya baridi na ya kawaida. Natafuta kazi halali popote hapa Tanzania...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Popote ulipo TANZANIA,kwa mahitaji ya vifaa #bora #imara #kwa bei nafuu -MABATI -MISUMARI -MARINE BORD -VIGAE -PVC BORD -GATA & KOFIA -ANGLE LINE -GYPSUM -FISHER BORD Fika kiwandani #DRAGON au...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Biashara yangu ina Jina lakini haina Logo nimekua nikiwaza kuhusu hili muda mrefu lakini sikua nalipa kipaumbele sana ila sasa naona linaelekea kuni cost huko mbeleni. Sina pesa wakuu naommba...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habar zenu wapendwa natibu vidonda vya watu wenye sukari kwa bei nafuu karibuni sana napatikana kwa simu namba 0746600401
0 Reactions
1 Replies
680 Views
Najua HAIHUSIANI SAN ILA MSAADA Nina degree ya COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT. [emoji419]Naitafutia uzoefu ili badae niweze kuwa na chochote kwenye CV na kuombea Kazi. Nisaidie hata Internship tu...
1 Reactions
6 Replies
795 Views
Kiwanja Kinauzwa! Mahali: Kibaha kwa Mathiasi. Bei: Milioni 60 (kunamaelewano). Maelezo: Kipo karibu kabisa na barabara ya kuu ya morogoro - upande wa stendi ya daladala kuelekea Ubungo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salama wandugu......nahitaji freezer used Yale ya biashara...njoo na ofa Yako tufanye biashara Leo Leo.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Frem zipo Mjimwema Kigamboni Zimepakana na sheli ya oil com Bei laki 250 0787672719 0713672719
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenye ako na haka kapikipiki kakiwa na usajili tayari namba D itapendeza iwe used ambayo bado piru muonekano mzuri na isiyosumbua isiyo na kipengele njoo Pm
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Nahitaji mlango wa kioo kwa ajili ya duka na shelves.. bei iwe nzuri Location:Dodoma Contacts:0710820669
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asus Rog STRIX Z390-F Customized Gaming Desktop Core i7 8th Generation SSD 512GB+HDD 3TB RAM 16GB DDR4 CPU 3.20 GHz RTX 2060 Super 8GB Dedicated Video memory Power Supply 700W RGB FAN 0622 901670
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Drone camera .. 720P, 1080P,4k video Recording , taking photo. 1km range Brand new , Dar unalipa ukipata mzigo .. Mikoani unatumiwa .. Tupo makumbusho 0686 314 748
1 Reactions
41 Replies
6K Views
Back
Top Bottom