Fundi umeme wa majumbani kama kusuka, vifaa vya umeme kama pasi, heater, oven, microwave, fridge, n.k
Ukifanikiwa kupata kazi au kuniletea mteja utapa 30% ya malipo ya mteja atakayotoa
Tuma...
Habari,
Ninanunua Magari Aina zote Used, Kama Unauza Gari Lako Unahitaji Hela Ya Haraka Nipigie Simu au nitumie picha WhatsApp nikufate Popote.
0625004475
Kuibiwa masega, catalytic, exhaust au converter kwa lugha nyingine katika gari yako hupelekea changamoto mbalimbali ikiwemo gari yako kula mafuta mengi, kutoa mlio unao kera, hata taa za engine...
Tunafunga CCTV camera majumbani na sehemu za biashara kwa ajili ya usalama na kufuatilia matukio.
Pia tunakuunganishia uweze kufuatilia matukio hayo kupitia kwenye simu yako ya mkononi popote...
Mashine ya Mazoezi ya Kukimbia kampuni ni HOMCOM,Inatumia umeme (Imetumika kidogo)
Ina uwezo wa kuhimili hadi Kilo mia na kumi - 110KG.
Bei ni TSH:1,000,000
Mawasiliano:0768960575
iko Dar es...
Ndio nyumba inauzwa m125 ipo dar, kigogo mburahati. Mazungumzo yapo kigogo kwa muhitaji kweli. Nyumba inatazama barabara ya lami kabisa. Nyumba haina migogoro yoyote. Call 0783 708437.
Wakuu habari zenu? Nimeamua kuwaletea hii taarifa njema, hasa kwa wale wenye tamanio la kuishi Tabora (Unyamwezini) kwa watoto wa kiarabu.
Kiufupi ni kwamba nyumba ina sehemu mbili...
Nyumba kubwa...
Habari wakuu,
Nyumba inauzwa, ina, vyumba 6 na uwanja robo hekta,
Ipo karibu na chuo cha Hombolo ambacho kinawanafunzi elfu 8+
Pia unaweza kuifanya hostel kwani imezungukwa na Hostels pia.
Price...
Huu Uzi wa kubadilishana contacts za kazi / baishara, mfano ww ni muuza duka unahitaji msaidizi wa kukuza, au una biashara flani unahitaji supplier ,
Taja aina ya mtu unayemuhitaji, wahitaji...
Mwenye shida na hivyo vitabu ninavyo softcopy
Pia nina vitabu vingine vingi pamoja na pepa mbalimbali kuanzia F1 paka F6
Pia nafundisha masomo ya ziada kwa wenye uhitaji
1.Physics na...
Najua watu wengi wanaopenda na kujali ngozi zao huwa wanatafuta bidhaa nzuri za kuleta
matokeo mazuri
Hapa sasa Umefika, tuna bidhaa nzuri kutoka brands kubwa (Nivea,Dove,Ordinary,Boots, n.k)...
Habari, kutokana na uwepo wa joto katika mazingira yetu ya nyumbani na maofisini
kampuni ya OKEMI technical services imekuletea OFA KUBWA yaani punguzo la bei kwa 30% za AC na kufunga AC kwa...
Ndio,
Nauza Toyota Spacio namba EBC, imetumika kidogo sana inatakiwa m14 tu.
Gari ya muhindi (haina safari) ipo Posta Dar.
Mawasiliano: Call 0783 708437.
Habarini wadau wakubwa huku JF, km unakreti tupu za pepsi nahitaji kuzinunua ikiwa unaziuza au unajua mtu anaziuza. Kwa maeneo yote ya Dar es Salaam km unazo tuwasiliane tufanye biashara wadau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.