Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuuu,Nina lengo la kufungua mradi wa kuuza juice ya miwa .Naomba kuuliza bei ya kununua mashine yake ikiwa mpya na ikiwa used . Nataka nione wapi nitaaford ili niweze kifungua nione kama...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Mid keyboard inauzwa bei kitonga sana ,tone,volume , baton zote ziko poa imenyooka sana haina kipengele Location mwanza Bei 330,000 Popote unatumiwa kwa uaminifu kwa gharama za mteja
0 Reactions
3 Replies
824 Views
Habar wakuu, Naombeni location duka la kuuza biblia, nipo morogoro mjini msamvu Biblia za kingereza, Nahitaji muda huu. Asanten [emoji120]
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Ramani ya Ukumbi/Venue Unauwezo wa kuhudumia watu 400 Pia Tunatoa huduma zifuatazo ◇RAMANI NA UJENZI ◇KUFATILIA VIBALI VYA UJENZI ◇KUANDAA GHARAMA ZA UJENZI (BOQ) ◇USIMAMIZI WA UJENZI Wasiliana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Umepanga kununua Tv na pesa ni kidogo? Usiteseke Infopreneur anauza Smart Tv used from UK Kwa bei poa sana. Jambo bora zaidi ni kwamba Tv zangu Zinakuja na warranty pia ni Original. All you have...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari Wana JF Jana kama unaona kabisa una Stationery ila huoni mafanikio watafute MachapishoAgentLtd pia tuna softcopy ya kitabu chetu inaitwa TAJIRIKA KWA BIASHARA YA STESHENARI inaendelea...
1 Reactions
0 Replies
520 Views
Kama ulinunua kwa makosa ardhi au nyumba zako, unahitaji kusoma makala hii. Kama una mpango wa kununua ardhi au nyumba, unahitaji kusoma makala hii. Kama hujui ni nini hasa cha kuandaa kabla ya...
6 Reactions
24 Replies
8K Views
Tunaprint sticker, flyers, Posters, Vitabu, banner, tshirt, kofia, vikombe, Company profile, report, magazine. Tel: 0762 68 99 68 / 0663 68 99 68
0 Reactions
5 Replies
536 Views
Nyumba inauzwa Mwandege Magengeni barabara ya Kilwa road, wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani. Ina vyumba vinne sitting room chumba kimoja master, jiko, kisima cha maji, stoo ndani full tank. Uani...
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Nyumba inauzwa Mbezi Kibamba ina vyumba vitatu kimoja master, ina stoo, jiko, dinning room, sittng room, public toilet, full fency maji ya DAWASCO dakika 3 main road bei milioni 70...
0 Reactions
1 Replies
963 Views
HUDUMA ZETU ZA PRINTING ___________________________________ Tuna print 1. Flyer /bronchure 2. Vitabu vya Risiti /invoice Book 3. T-shirt 4. Calender 5. Dairy Book 6. Company Profile 7. Events...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanandugu KIWANJA KIPO SOKONI (40 urefu kwa 22upana) Sifa ya kiwanja 1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari na pikipiki 2. Hakipo mbali na Barabara kuu ya lami yaani itokayo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
KARIBU, Tunauza Mbuzi na Kondoo kwa bei nafuu kwa ajili ya nyama na kufuga tunazo aina za mabeberu wenye uwezo wa kuzalisha Mapacha. Tuko Dar tupige au whatapp no 0713318671. Furahia Maisha.
4 Reactions
37 Replies
6K Views
Piga +255654763908 nambari hizi ujipatie flash OG ya reliable brand mi 2TB kwa bei nafuu
0 Reactions
8 Replies
632 Views
Nimepata sehemu Pumba za mchele na mahindi zinazalishwa sana. Japo zinauzwa lkn bei ipo chini ukilinganisha na sehemu zingine. Kwa yeyote anaeyajua masoko ya kitu hii iwe hata nje ya nchi anitafute
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Hello, nauza simu yangu google pixel 3a nimenunua mwezi uliopita 300000. Tarehe Moja/8 napata simu nyingine naiuza hii 200000. Unaweza lipa Kwa awamu 2. Nipo, Dar es salaam.
1 Reactions
62 Replies
4K Views
Kwa yeyote mwenye kuhitaji mahindi meupe naomba tuwasiliane. Kiasi ni kulingana na mahitaji Yako ila si chini ya Tani 30. Bei kwa sasa ni shilingi 600@kg, hapa inajumuisha Bei ya MAHINDI...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Niende moja kwa moja kwenye mada nahitaji hiyo gari budget yangu ni mil 7,asanteni
1 Reactions
7 Replies
2K Views
UPSCALE SHOP inawatangazia nafasi ya kazi (1) kuhusu DATA ENTRY SYSTEM SIFA YA MWOMBAJI -Awe amehitimu elimu yake ngazi ya DIPLOMA/ DEGREE nafasi hii inahusiana na INFORMATION TECHNOLOGY (I.T)...
1 Reactions
2 Replies
894 Views
Back
Top Bottom