Heshima Kwenu Wadau wa Majenzi.
Natafuta Mashine ya Manual yenye kuweza Kufyatua Tofali Kubwa za Cement zenye matobo (Hollow Concrete blocks).Anayejua zinapouzwa anijuze Kwa #0786-258617 au aje...
Mimi ni muwekezaji wa viwanja vodogo na vya kati. Nilipofika wilaya ya Masasi nilishangaa kuona hakuna uwekezaji wa viwanda vidogo vidogo.
Nikaona hio ni fursa nikavamia yaani huu mwaka wa pili...
Ndugu zanguni nawasalimu kwa jina La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kuna jambo hapa nataka kulifanya ila ushauri wenu ni muhimu pia.
"Kigoma messenger service" Nimeipa jina hii hiyo huduma...
We are AGRO AFRIQUE COMPANY LIMITED located in TANZANIA. We are Producer and Supplier of Refined Sunflower and Palm Oil.
Price per ton for Sunflower $1100 per MT Palm Oil $750 Per MT. We invite...
Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji najishughulisha na ufundi bomba majumbani na maofisini napatikana Mkoa wa Morogoro Mjini, popote ulipo ndani na nje ya Mkoa natoa huduma kwa mawasiliano 0687329591
Habari wakuu
Kuna Room ya kupangisha Makulu- Oysterbay.
SIFA
1. Room ni self contained ( choo ndani)
2. Nje ina sehemu ya kibaraza, unaweza pika nje kwa jiko la mkaa, pia unaweza hifadhi...
Ndugu wana JF mwaka 2014 ndio umeshaanza hivyo na Kama vijana tunaanza kusaka fursa.
Nataka kujua kama kuna mtu anaifahamu biashara ya mlonge mti unaosifika kwa mengi.
Je unapatikana wapi Kwa...
HABARINO👋
Huu 'mtambo' unavutia na hauna changamoto kubwa za kuumiza kichwa.
Gari ipo katika Hali nzuri.
Inapatikana Dar.
SIFA:
Toleo la 1994,
Cc 2809,
Engine 3L,
Imetembea km.202,000.
Siti...
Kwa anae jua kuhusu hizi printer za Epson M2140 Naombeni msaada juu ya utendaji kazi wake. Bei nimeona ni reasonable ila speed yake na ubora wake ndio cjui na pia mwenye anajua printer ya chin ya...
Habari!!!
naitwa sophy brown niko china natoka katika kamouni inaitwa travel of carman inajihusisha na uuzaji wa vipuli vya magari makubwa kama vile scania,faw,shacman,na mengine mengi ,kwa bei...
Habari wana jukwaa...,
Nyumba ya ghorofa inauzwa. Ipo Kigamboni sehemu moja inaitwa DEGE,.. ni kama 20 km's kutoka Ferry. Documents zote zipo(Hati). Ghorofa lina vyumba sita vya kulala vyote ni...
Hizi zimetumika katika biashara kidogo nikazihamishia katika matumizi ya nyumbani, zinafanya kazi vizuri, zote automatic moja ya kufua, kusuuza na kukamua, nyingine kwa ajili ya kukausha, wale...
MJ maziwa jumla tuna uzoefu wa miaka mingi wa kuzalisha maziwa na kutengeneza mtindi bora kabisa, kwa walioona na kunywa maziwa yetu watakubaliana na mimi
Tunazalisha na kutengeneza mtindi zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.