Sasa unaweza kupata Nyumba za kupanga, Apartments, Frames na Viwanja katika maeneo yote ya Makongo juu. Nyumba zenye hadhi tofauti na Bei tofauti.
Wasiliana nami kwa 0743941142.
Kwa wadau wa kilimo nchini tafadhari karibuni Mashine ni Diesel Engine HP 16 2200 RPM Uzito wa body na Engine jumla ni Kg 165 Inauwezo wa kupiga Kg 1000 kwa saa inafaa kwa kupigia Alizeti...
Ewe mzazi unakosaje furaha na simu yako uwapo nyumbani??? Njoo tukuondolee hilo tatizo analokusumbua mwanao kwa kumpatia Laptop ya Watoto itakayokufanya uwe huru.
UWEZO WAKE:
√ Zinatumia mfumo...
[emoji91]MRADI MPYA KIBADA ~~>SHANGWE[emoji817]
KM 8 KUTOKA FERRY
MITA 600 KUTOKA BARABARA YA KIBADA/MJIMWEMA
[emoji117]UKUBWA:
SQM 500/600/1000
[emoji117]BEI:
TSH,55,000/= @ SQM1...
Me ni Fundi wa Alcobond Napatikana Sinza Mori ndo ofisi yangu ilipo karibuni sana hizi ni baadhi ya kazi zangu mkoa wowote nafika
Mawasiliano Yangu
0759117175
0717751175
Jipatie hii laptop HDD 500 Gb, RAM 4GB, Intel Celeron 1.6Ghz
Inakaa na charge mpaka masaa mawili na nusu kutegemeana na matumizi.
Bei Tsh 230,000. Napatikana kinondoni vijana. Simu 0765137266...
IMPORTANT NOTE : Hakuna dalali!
Eneo liko baada tu ya roundabout ya kuingia Bagamoyo (kituo cha daladala cha Kosovo) na ni hapo hapo barabarani.
Eneo lina ukubwa wa 120 * 93 (m), kuna nyumba ya...
habari wana jf . nauza kiwanja changu kinachopatikana mbezi mji mpya karibu na stendi ya magufuli terminal. kiwanja kina ukubwa wa futi 60x50 average sio square.
Bei ni 15,000,000 maongezi yapo...
Nauza Shamba hekari mia moja(100) lipo Mkoa wa Singida Wilaya ya MANYONI. Shamba lipo Kilometa Saba(7) kutoka Manyoni Mjini ni mwendo wa barabara ya lami na pia Shamba kutoka lami kuingia shamba...
MODEL: Boxer
MODEL NUMBER: BM 125
LOCATION: Tegeta, DSM
Iko vizuri kabisa na ENGINE haijawahi kuguswa
Ina registration card
BEI: 1,100,000/= maongezi yapo
NICHEKI PM KWA MAWASILIANO ZAIDI
MITAMBO YA BIOGAS
Karibuni , Tuwajengee mtambo wa Biogas kulingana na Mahitaji yako, iwe nyumbani, mashule, Bar, . Mitambo hii inatumia vinyesi vya wanyama, Kama ,ng'ombe, kuku,kondoo na wanyama...
Nyumba ni ya pili kutoka lami na ina vyumba 4 vyote ni self.
Ukubwa wa Eneo ni 4200 sqm
Nyumba ipo kwenye Eneo kubwa na kama inavyoonekana kwenye picha kuna shamba pia.
Hati ipo.
Bei 370m...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.