kama ww sio mkazi wa dar tulia sasa, mm nakaa chamanzi nalipa kodi elfu 30 na chumba kipo ndani ya fensi, nataka kubadilisha mazingira, chamanzi vipo hadi vyumba vya 25 30, 35 cha 40 ni kama ikulu so kama hukai dar tulia huwezi elewaMimi sio mkazi wa dar ila kwa gharama hiyo dah.. anyway sijui lakini ngoja waje wenye uzoefu wakupe muelekeo kuhusiana na hili
Hayakama ww sio mkazi wa dar tulia sasa, mm nakaa chamanzi nalipa kodi elfu 30 na chumba kipo ndani ya fensi, nataka kubadilisha mazingira, chamanzi vipo hadi vyumba vya 25 30, 35 cha 40 ni kama ikulu so kama hukai dar tulia huwezi elewa