mbacho massawe
JF-Expert Member
- Apr 24, 2016
- 235
- 213
Umepanga kununua Tv na pesa ni kidogo? Usiteseke Infopreneur anauza Smart Tv used from UK Kwa bei poa sana. Jambo bora zaidi ni kwamba Tv zangu Zinakuja na warranty pia ni Original. All you have to do ni kuchagua inch ngapi unapenda na kunicheck messenger au Whatsapp Kwa namba 0742645242.
Smart TV inches 65 ........................... 1, 450, 000
Smart TV inches 55 ............................1, 250, 000
Smart TV inches 50 ............................ 680, 000
Inches 46/47/smart ............................. 680, 000
Inches 43/42/smart ............................ 660, 000
Inches 40 smart ............................ 600, 000
Inches 32 smart ............................. 400, 000
Brand za Tv zilizopo ni Samsung na LG Kwa sasa. Tunapatikana zanzibar Kwa Mchina Mwanzo. Daresalam na mikoani Tunatuma Kwa njia ya posta Kwa usalama mkubwa. Usafiri ni juu yangu Kwa njia ya posta Ili kuhakikisha usalama wa mali Yako.
MUHIMU
Kama utachukulia zanzibar na kusafirisha wenyewe Bei itapungua sana. Maana kutoa kitu zanzibar kuleta dar na Maeneo mengine ni garama sana. Tv Moja kutoka zanzibar kuleta dar TRA Wana kata Kodi Kila inch Tsh 1000. Kwahivyo Kwa Tv inch 55×1000 = 55000 italipiwa Bei hiyo.
Pia kwenye meli lazima Mzigo ilipiwe Hata kama unasafiri nao mwenyewe. Hivyo vyombo vinavyo husika na kusafirisha watu na mizigo kama azam marine hawasafirishi mizigo kama Tv na simu kutokana na kuhofia kulipa garama kubwa mzigo unapopasuka. Hivyo mizigo hii unamtafuta agent.
Pia pale bandarini zanzibar lazima ilipiwe nauli na Kodi ya bandari ambapo garama zake ni ndogo kulinganisha na daresalam Kwa zanzibar itagarimu pesa kama elfu kumi na Tano mpaka20. (Kodi + nauli) ndani ya meli.
Pia kusafirisha mzigo Kwa njia ya maji usalama ni mdogo.
Kwa ndege usafiri ni kama hivi
5- 10 kg ................ Tsh 49,950
10- 15kg .............. Tsh 69,550
15- 20 kg ............. Tsh 89, 000
20 - 30 kg ............. Tsh 100, 500
Karibuni sana!
View attachment 2669276View attachment 2669277View attachment 2669278View attachment 2669279View attachment 2669280View attachment 2669281View attachment 2669282View attachment 2669283View attachment 2669284
Smart TV inches 65 ........................... 1, 450, 000
Smart TV inches 55 ............................1, 250, 000
Smart TV inches 50 ............................ 680, 000
Inches 46/47/smart ............................. 680, 000
Inches 43/42/smart ............................ 660, 000
Inches 40 smart ............................ 600, 000
Inches 32 smart ............................. 400, 000
Brand za Tv zilizopo ni Samsung na LG Kwa sasa. Tunapatikana zanzibar Kwa Mchina Mwanzo. Daresalam na mikoani Tunatuma Kwa njia ya posta Kwa usalama mkubwa. Usafiri ni juu yangu Kwa njia ya posta Ili kuhakikisha usalama wa mali Yako.
MUHIMU
Kama utachukulia zanzibar na kusafirisha wenyewe Bei itapungua sana. Maana kutoa kitu zanzibar kuleta dar na Maeneo mengine ni garama sana. Tv Moja kutoka zanzibar kuleta dar TRA Wana kata Kodi Kila inch Tsh 1000. Kwahivyo Kwa Tv inch 55×1000 = 55000 italipiwa Bei hiyo.
Pia kwenye meli lazima Mzigo ilipiwe Hata kama unasafiri nao mwenyewe. Hivyo vyombo vinavyo husika na kusafirisha watu na mizigo kama azam marine hawasafirishi mizigo kama Tv na simu kutokana na kuhofia kulipa garama kubwa mzigo unapopasuka. Hivyo mizigo hii unamtafuta agent.
Pia pale bandarini zanzibar lazima ilipiwe nauli na Kodi ya bandari ambapo garama zake ni ndogo kulinganisha na daresalam Kwa zanzibar itagarimu pesa kama elfu kumi na Tano mpaka20. (Kodi + nauli) ndani ya meli.
Pia kusafirisha mzigo Kwa njia ya maji usalama ni mdogo.
Kwa ndege usafiri ni kama hivi
5- 10 kg ................ Tsh 49,950
10- 15kg .............. Tsh 69,550
15- 20 kg ............. Tsh 89, 000
20 - 30 kg ............. Tsh 100, 500
Karibuni sana!
View attachment 2669276View attachment 2669277View attachment 2669278View attachment 2669279View attachment 2669280View attachment 2669281View attachment 2669282View attachment 2669283View attachment 2669284