Fabian Zegge
Member
- Sep 20, 2018
- 15
- 14
Nimepata sehemu Pumba za mchele na mahindi zinazalishwa sana. Japo zinauzwa lkn bei ipo chini ukilinganisha na sehemu zingine. Kwa yeyote anaeyajua masoko ya kitu hii iwe hata nje ya nchi anitafute
LocationNimefanya uchunguzi kwa debe. Ni Tsh 1000. Likipanda sana halizidi Tsh 3000.
Ifakara vijijiniLocation
Mafinga kuna wateja kweli.Peleka Mafinga
Dar sahemu gani. Na gunia la debe ngapiIlete Dar huku gunia ni 42000 TSh
WapoMafinga kuna wateja kweli.
Wap huko mkuu tupeane connectionNimepata sehemu Pumba za mchele na mahindi zinazalishwa sana. Japo zinauzwa lkn bei ipo chini ukilinganisha na sehemu zingine. Kwa yeyote anaeyajua masoko ya kitu hii iwe hata nje ya nchi anitafute