Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

King'amuzi (kisimbuzi) cha dstv kinauzwa, kimetumika miezi mitano tu, mwenyewe anahama. Ukikinunua utapata na Vitu vifuatavyo; 1. Dekoda yenyewe. 2. HDMI Wire. 3. AV Wire. 4. Wire mrefu wa TV. 5...
1 Reactions
8 Replies
812 Views
Ipad air model a1567 IOS 13 Tatzo ni kioo kimepasuka 0757560345 Kila kitu fresh bado mpya Sent from my YAL using JamiiForums mobile app
1 Reactions
5 Replies
589 Views
Naiuza hii nissan yangu haina shida yoyote ila imepaki muda mrefu sababu nipo mkoani kwa muda sasa, hapo inawaka na kutembea bila shaka 2 M tu naitupa. 0787037744.
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Kuna ENEO zuri lenye pagali mjini MAKAMBAKO location magegele sokoni ukubwa wa ENEO hatua 30 upana Kwa hatua 30 urefu bei mil 6 0620373782 karibuni
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Business Manager (BM) ni sytem inayomuwezesha mfanya biashara kuweza kuiongoza biashara yake kwa kuweka sawa hesabu zake mapato na matumizi pamoja na faida na hasara. kutunza taarifa za wateja na...
0 Reactions
4 Replies
636 Views
Apple MacBook Pro, Retina Display 13inch, 16GB, HDD250GB, Processor core i5, Battery 8800 mAh, 9 hours 4K FaceTime camera, High Sound Quality speakers, Mazungumzo yapo Bei 1.3M Tsh
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Hello ladies and gentlemen... Anaefahamu chimbo zuri hapa Dar, wanapouza nguo za watoto nyepesi yaani (lightbaby) grade one kutoka Canada na UK anijuze. Ukinijuza na bei itakuwa poa...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Ni mali yangu halali tunaandikishiana hata kituo cha polisi Ukitaka njoo uchukulie nyumbani. Ni nzima haina kasoro yeyote nakupa warranty mwaka mzima. Betri inakaa na chaji kutwa nzima hata...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani nina eneo langu liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. naliuza. Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining. Nimeezeka vyumba 2 na...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
kama una mahitaji mbali mbali ya tiles za bei nafuu na zenye ubora wa hali ya juu usiwe na wasiwasi kwani HUFAT Group wamekufikia, utapata tiles za kila aina, wall tiles, floor tiles na accessory...
6 Reactions
55 Replies
109K Views
Kama picha inavoonesha hapo Catdrige OG kabisa za HP... ni compatible kwenye HP laserjet pro M402, MFP426 zipo mbili...zote nagawa kwa Laki moja tu....Ni mpya kabisa na Sealed
0 Reactions
0 Replies
450 Views
Kiwanja kipo karibu na mnada wa mifugo na bandari ya kwala Ukubwa mita 64 x70 Bei milioni 3.5 Contact 0678804442 Eneo ni langu sihitaji dalali
0 Reactions
1 Replies
935 Views
MIlioni 1 ukifanikiwa kumpata mbwa huyuu.....FURSA FURSA FURSA
9 Reactions
91 Replies
5K Views
Uongozi wa shule ya St. Marcus iliyopo Iwambi jijini Mbeya unatangaza nafasi za masomo kwa kidato cha tano kwa michepuo ya HGL,HKL na HGK.fomu za kujiunga na shule zinapatikana Shule Iwambi jijini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Inauzwa na kila kitu ndani Pamoja na Mlango wa Almuniamu Feni panasonic 2 Mashine za rangi 2 Instant heater 1 Salun nzima 5m mazungumzo yapo
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ili mayai ya kuku yaweze kuanguliwa kunahitajika kuwe na mambo matatu muhimu: 1. Joto linalotakiwa kwa ajili ya kuangulia mayai 2. Uvukevuke unaohitajika ili mayai yasipoteze maji...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Tupo kwenye mapambano ya kuhakikisha sisi pamoja na ndugu zetu watanzania tunajiondoa kutoka katika hili dimbwi la umasikini kwa kutumia njia za kawaida sana. Sisi tunatengeneza mashine za...
0 Reactions
38 Replies
23K Views
For your needs and entrepreneurship, we suggest you to consult us to get the best out of what we do! We sell the best incubators ever seen in Tanzania. KARIBUNI SANA. TEMBELEA...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Tunatengeneza vifaa mbalimbali vinavyotumia umeme kama ifuatavyo,pasi,heater,blenda,rice cooker,tv,ving'amuzi,simu,computer,subwoofer,home theater,speaker,amplifier,audio...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom