Naiuza hii nissan yangu haina shida yoyote ila imepaki muda mrefu sababu nipo mkoani kwa muda sasa, hapo inawaka na kutembea bila shaka 2 M tu naitupa.
0787037744.
Business Manager (BM) ni sytem inayomuwezesha mfanya biashara kuweza kuiongoza biashara yake kwa kuweka sawa hesabu zake mapato na matumizi pamoja na faida na hasara. kutunza taarifa za wateja na...
Hello ladies and gentlemen...
Anaefahamu chimbo zuri hapa Dar, wanapouza nguo za watoto nyepesi yaani (lightbaby) grade one kutoka Canada na UK anijuze. Ukinijuza na bei itakuwa poa...
Ni mali yangu halali tunaandikishiana hata kituo cha polisi
Ukitaka njoo uchukulie nyumbani.
Ni nzima haina kasoro yeyote nakupa warranty mwaka mzima.
Betri inakaa na chaji kutwa nzima hata...
Jamani nina eneo langu liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. naliuza. Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining.
Nimeezeka vyumba 2 na...
kama una mahitaji mbali mbali ya tiles za bei nafuu na zenye ubora wa hali ya juu usiwe na wasiwasi kwani HUFAT Group wamekufikia, utapata tiles za kila aina, wall tiles, floor tiles na accessory...
Kama picha inavoonesha hapo Catdrige OG kabisa za HP... ni compatible kwenye HP laserjet pro M402, MFP426 zipo mbili...zote nagawa kwa Laki moja tu....Ni mpya kabisa na Sealed
Uongozi wa shule ya St. Marcus iliyopo Iwambi jijini Mbeya unatangaza nafasi za masomo kwa kidato cha tano kwa michepuo ya HGL,HKL na HGK.fomu za kujiunga na shule zinapatikana Shule Iwambi jijini...
Ili mayai ya kuku yaweze kuanguliwa kunahitajika kuwe na mambo matatu muhimu:
1. Joto linalotakiwa kwa ajili ya kuangulia mayai
2. Uvukevuke unaohitajika ili mayai yasipoteze maji...
Tupo kwenye mapambano ya kuhakikisha sisi pamoja na ndugu zetu watanzania tunajiondoa kutoka katika hili dimbwi la umasikini kwa kutumia njia za kawaida sana.
Sisi tunatengeneza mashine za...
For your needs and entrepreneurship, we suggest you to consult us to get the best out of what we do! We sell the best incubators ever seen in Tanzania. KARIBUNI SANA. TEMBELEA...
Tunatengeneza vifaa mbalimbali vinavyotumia umeme kama ifuatavyo,pasi,heater,blenda,rice cooker,tv,ving'amuzi,simu,computer,subwoofer,home theater,speaker,amplifier,audio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.