Mini laptop Acer inauzwa.
SPECIFICATION ZAKE
Hard disk: 139.4GB
Ram: 1GB
Processor: 1.6Ghz
Intel Atom inside,Webcam,installed with Ant-virus Updated.
BEI: 490,000/=
Ni PM, kwa mahali...
plot inauzwa -
iliyopo katika vitalu vilivyopimwa rasmi va serikali "planned plots buyuni ilala", ina title (certificate) na ni pahala pazuri sana kwa kuanza ujenzi. Ukubwa ni zaidi ya square...
natafuta nyumba ya kupanga kinondoni/morocco/ block41/victoria au magomeni kuanzia usalama mpaka mapipa.
Nyumba iwe na vyumba vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo kiwe master, choo cha...
NI nyumba mbili ziko kwenye plot moja kubwa, zimetenganishwa na fensi, kila moja ina eneo kubwa kwaajili ya parking, kila nyumba ina master bed room moja, vyumba vingine vitatu vya kulala, jiko...
As a Partner Organization to International Labour Organization (ILO), Genesis Consult embarks on training potential and existing entrepreneurs for Generate Your Business Idea (GYBI) and Start Your...
wandugu habari zenu.
Natengeneza website za aina mbalimbali kwa ghrama nafuu sana huwezi kuamini.kwa ajili ya personal profile, biashara, shule za chekechea, primary na secondary, pia vyuo...
blackbery torch 9800 at&t memory 4gb red mpya na kila kitu 600,000....iphone 3g 8gb na full bei 480,000...samsung galaxy captivate used 16gb internal memory 450,000.nitafute 0713 51 05 78...
Wajameni!! Kwa mwenye kujua ama mwenye nalo na anauza, mimi nahitaji shamba maeneo ya mwongozo kigamboni, likianzia eka mbili na kuendelea itakuwa poa. Mwenye nalo tafadhali anijulishe ukubwa na...
kitope nauza maji safi kwa matumizi ya nyumbani, ujenzi na umwagiliaji n.k.
napatikana maeneo ya kigamboni
bei kwa ndoo ya 20lts. ni Tsh. 110
inapungua kwa wanunuzi wa matenki
kwa maelezo na...
Ipo maeneo ya town-magomeni mapipa. Njoo uiangalie ilivyo, tuzungumze na kukubaliana ili ifanyike biashara. Nyumba ipo katika eneo zuri la kibiashara, ni hatua chache tu toka barabara ya morogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.