Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

kuna rafiki yangu mmoja anatafuta chumba kikubwa na kizuri cha kupanga maeneo ya Ngarenaro, Kaloleni, ILBORU na maeneo ambayo yapo mjini. Chumba hicho kiwe self contained. Kwa yeyote mwenye...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nyumba inapangishwa kwenye shared compound. Ipo ndani ya fensi. Ni nyumba yenye vyumba viwili vya kulala na kimoja ni master. Ina sitting room pamoja na jiko. Kuna sehemu ya kupaki gari. Ipo mbezi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za leo wanajamii. Natafuta nyumba ya kupanga mwezi mmoja wakati namalizia mjengo wangu. nyumba iwe ya vyumba viwili au vitatu. Mimi niko Dar es salaam.
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Kiwanja kina hati kimepimwa, eneo zuri, nyumba imezungushiwa fensi ya matofari, ina master b/room, vyumba 3 vya kulala, s/room, d/room, Jiko, mabanda ya uwani, Gereji, na maegesho ya gari. Maji ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii forums, najitolea kufanya kazi ya website designing... yeyote mwenye kazi ya kudesign website anaweza kunicheki kwa PM kisha nikasaidiana nae kufanya hiyo kazi bila malipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta iphone 4/4S kwa bei poa, nipo dar es salaam, pm me plz.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
phone is on goof condition 32 GB internal Memory Bei 270,000
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mwenye huo mzgo ani pm pamoja na bei
0 Reactions
1 Replies
811 Views
WE OFFER FINANCIAL AND BUSINESS SERVICES WHEREVER YOU , OUR PERSONELL WILL VISIT YOU. eg preparation of busness plan/propasal, internal auditing, preparation of financial report, practical...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
wakuu inahitajika rav4 milango mitatu kwa m5.... iwe na hali nzuri..... aliyenayo naomba aniPM
0 Reactions
0 Replies
890 Views
Natafuta ile mashine kubwa ya kuchomea kuku kwa kuzunguka, kama ile ya bonge wa pale kona Bar. Nimejaribu kuulizia sehemu nyingi bila mafanikio. Mwenye kujua tafadhali anijuze.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salamu kwenu wanajf, Natafuta benki inayoweza kunikopesha mkopo, mimi ni mwajiriwa, mshahara wangu ni kati ya 1.5 m to 2m hiyo ni net. Gross ni kati ya 2m na 2.5m. Nimekuwa na akauti benki toka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zipo ndani ya fensi moja, nyumba moja ni kubwa na nyingine ni ndogo. Kuna eneo kubwa la kuweza kujenga nyumba nyingine. Ipo tabata mawenzi karibu na shule ya sekondari ya kamene. Bei ni milioni...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
nauza mitsubishi, canter ya mwaka 1998; registration na. T 616 BTD; rangi ya blue, body ya aluminium kwa chini, juu imewekwa bomba na ina turubai. Ilinunuliwa U.K june 2011; ina km 90,000 mpaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bei 160,000 Au nyingine above dat bt money ntaongeza! Tanx in advance usipopost ujinga!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta lori la kukodi kwa shuguri za kusomba moram toka mto wa mbu hadi hapa njiro
1 Reactions
0 Replies
1K Views
we are developing website in high quality and cheap.....contact us iannashin@gmail.com
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana jamii tumeondokewa na mwanajamii mwenzetu jana kwa ajali mwanza. Juzi Alikuwa akiendesha gari galfa bastola aliyokuwa nayo kiunoni ikalipuka ikampiga tumboni .anafanyanya kazi T.r.a musoma...
2 Reactions
172 Replies
13K Views
habari wana jf kuna kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa nusu ekari kipo eneo la Igoma jijini Mwanza bei maelewano kwa ambaye atakuwa tayari awasiliane na mimi kupitia hizi namba:0764339400.changamkia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom