Mrekebishaji
Senior Member
- Mar 19, 2009
- 168
- 63
Salamu kwenu wanajf,
Natafuta benki inayoweza kunikopesha mkopo, mimi ni mwajiriwa, mshahara wangu ni kati ya 1.5 m to 2m hiyo ni net. Gross ni kati ya 2m na 2.5m. Nimekuwa na akauti benki toka October, 2011. Kwa hiyo nina benki statement ya miezi minne tu. Nimeshamaliza probation period na kuwa approved. Nahitaji mkopo wa haraka. Naomba mwenye taarifa ya benki ipi itanisaidia.
Natanguliza shukrani.
Natafuta benki inayoweza kunikopesha mkopo, mimi ni mwajiriwa, mshahara wangu ni kati ya 1.5 m to 2m hiyo ni net. Gross ni kati ya 2m na 2.5m. Nimekuwa na akauti benki toka October, 2011. Kwa hiyo nina benki statement ya miezi minne tu. Nimeshamaliza probation period na kuwa approved. Nahitaji mkopo wa haraka. Naomba mwenye taarifa ya benki ipi itanisaidia.
Natanguliza shukrani.