Natafuta ile mashine kubwa ya kuchomea kuku kwa kuzunguka, kama ile ya bonge wa pale kona Bar.
Nimejaribu kuulizia sehemu nyingi bila mafanikio. Mwenye kujua tafadhali anijuze.
Pale Ilala karibu na cristal palace hotel ,opposite kuna jamaa wanaziunda.Pia pale karibu na Hertz car rental ,near Tansoma Hotel na pale karibu na wizara ya sayansi kuna maduka ya vifaa vya mahotel nimewai ziona pita mitaa hiyo ukacheki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.