Kuna Eneo la ukubwa wa robo eka linauzwa Majohe Rada karibu na chuo cha ualimu cha Westland College Sh 12,000,000/ kiko Barabarani na nguzo za umeme ziko karibu linafaa kwa Biashara na Makazi...
Tanzania-Africa ipo nyuma katika mambo mengi,kiuchumi kijamii na kisiasa. Sisi vijana wa kitanzania tukiongozwa na Dada Jescar Gerald na kaka Edwin Mrema wameanzisha mtandao wa kijamii View Tz...
Nahitaji Toyota funcargo au toyota corola Ae 111, ya bei ndogo. Inayotumika na mswahili mwenzangu, bei isizidi Tsh 4000000/- mwenye nayo ani pm, pia aonyeshe picha yake.
Naomba ushauri,nataka kuweka tangazo na picha kwenye Jf.
Nimeona ndovu wameweka lao na mimi ningependa niweke jirani na Ndovu.
maana ukisha pata moja ya baridi unakuwa na hamu ya kiti moto.
Je...
Am looking for
Blackberry 9000
or
iPhone 3g
Or any other phone with OS (operating system)
My budget- 150,000/-Tshs
IF any major au minor problem, will buy maybe but plz mention !
nauza mashamba kigamboni eneo la mkokozi/lugwadu napima kuazia nusu eka 5mil. Halina hati miliki zaidi ya barua ya serikali ya kijiji na risiti. Lipo km 20 kutoka ferry, umeme haujafika , barabara...
Ninatoa huduma ya kurudisha data (data recovery) kwa hakika, haijarishi ni siku ngapi zimepita na wala kwamba kuna waliotangulia walijaribu wakashindwa. Software zangu niza viwango katika ubora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.