Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habari za leo, Nahitaji CHUMBA cha kupanga maeneo ya keko Maduka mawili, kama kuna mtu anacho, tufanye biashara
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SIMU HII WAZEE YA UKWELI INAUZWA... For more information pitia tovuti hii hapa uone picha zaidi na specs http://www.welectronics.com/gsm/misc/DELL-STREAK.HTML Bei 700,000/= pm kama ukiwa interested.
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Nauza gari aina ya Toyota Nadia ya mwaka 2000. Gari ni zuri kabisa - karibu na jipya - halina tatizo lolote na rangi yake ni nyeupe inayoenda kwenye rangi ya maziwa. Ina eight CD changer na liko...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama kuna mwny carina ti isizidi mwaka tangu isajiliwe, iwe metallic ofa 8m, model 99-2001
0 Reactions
0 Replies
803 Views
used bt in good condition, txt to 0763 530 330 ....
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Gari iko katika hali nzuri sana... Transmission: Automatic Year: 2000 Doors: 5 Engine Capacity: 1995 cc Fuel: Petrol Colour: Pearl Mileage: 80,877km Improted from Japan April, 2010 Bei 9...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
I'm selling it bt its used and in good condition, going for 270,000/- ... negotiations allowed..... 0763 530 330
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar wana jamvi kwa anayetafuta nyumba ya kupanga ipo sakina white rose dabo self na dabo ya kawaida maji yapo na umeme pia kwa maelezo .
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau nauza kiwanja kimara suca , kina kibanda cha vyumba 3 , eneo zuri karibu na barabara ,gari linafika , maji , umeme , bei naanzia mil 25 maelewano yapo , na matatizo ya kifamilia ndio maana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta uwanja wa kununua,uwe aidha Mafinga-Iringa au Ifakara- Moro,bei yake isizidi 1m.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
offer mil 15
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza bata bukini kwa bei nafuu sana mzwasiliano zaidi 0757-662401
0 Reactions
2 Replies
1K Views
blackberry bold 9000 tsh 250,000/= check me on 0715 705050
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo wakuu ! I have an UNBEATABLE OFFER of 50,000/-TSHS for Designing a COMPANY WEBSITE. Make your COMPANY ONLINE...for as little investment as 50,000/-Tshs !! DESIGN a WEBSITE Today We also...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
hii site inauza tablet za android kea bei ya chini sana. www.it-depot.net
0 Reactions
12 Replies
2K Views
anyone with ths phone in fantastic condition? pm me for biznes, if ts s1 / s2 cool bt no tab plz
0 Reactions
3 Replies
961 Views
wadau natafuta air condition ya kuweka kwenye salon yangu iwe za bei poa na ya size tu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza cresta nyeupe, auto, km laki na 20, vvti, tair zina miez 6, insuarance mpaka december, mziki mkubwa inbuild, dashbord digital, namba BDW, ipo mbeya town, 0717960200 its my namba for more...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
heyy people natafuta chumba na sebure au chumba tupu mitaa ya africana, mbezi beach or samaki. chumba kiwe na choo ndani
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kuna nyunba katika manispaa ia Lindi, eneo la Mtanda ambayo inapangishwa kuanzia mwezi wa Julai 2012. Pango lake ni US $ 250 kwa mwezi. Nyumba iko katika eneo la sqm 2200 na facilities za kuegesha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom