Aparments Zinapangishwa Kunduchi!

Aparments Zinapangishwa Kunduchi!

ExpertBroker

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2009
Posts
454
Reaction score
108
BRAND NEW APARTMENT HOMES TO LEASE! Two bedrooms apartments at the heart of Kunduchi Beach, near the Military Academy! These six apartments units in a triple storey building with two units each floor have ample parking space, connected to water supply from the main with a 10,000lt per each unit, with a ceiling fan each, go for TSHS 600,000 per month payable annually in advance! Prime location with a sound neighborhood! Live in a community environment, than in individual homes for reason of safety, security and closeness to friends. – A gated community with lock-up and go environment! Contact me +255 784 003 000 or expertbroker@realestateprofessionalstz.net.
 
Mbona kodi ya mwezi ni mshahara wangu mzima?!!
 
Mbona kodi ya mwezi ni mshahara wangu mzima?!!

Ukienda Peninsula huko Masaki na Oysterbay hata mshahara wako wa mwaka mzima unawezashindwa lipia nyumba! Kodi ni hadi Dola 15,000 per month! Kwa Dar es Salaam ni wewe unaamua uishi wapi? Kuna vyumba hata vya shs. 20,000 kwa mwezi! Kupanga ni kuchagua! Karibu!
 
Ukienda Peninsula huko Masaki na Oysterbay hata mshahara wako wa mwaka mzima unawezashindwa lipia nyumba! Kodi ni hadi Dola 15,000 per month! Kwa Dar es Salaam ni wewe unaamua uishi wapi? Kuna vyumba hata vya shs. 20,000 kwa mwezi! Kupanga ni kuchagua! Karibu!

hili ndio jibu
 
Kunduchis is a very good neighbourhood, ila kwa hiyo bei mkuu? na mafoleni ya kule Dah!
 
600,000 x 12 = 7,200,000 kwa mwaka! Hiyo pesa umeshajenga nyumba ya vyumba viwili! ahahhhhaaa. Hizo bei ni kwa wageni wanaokuja na kutoka bongo, lakn kama bongoland ny home, na kipato cha elf50 kwa siku hiyo ni ghali!
 
Na nyie watanzania hebu tumieni akili bana, kuweni wazi mnapopanga biashara kama hizi, ni wazi wateja wenu ni wageni au mafisadi!
 
Ni full furnished? hizo two bedroom ni self contained? is it two bedrooms plus sitting room, dining room kitchen etc au 2 bedroom kama zilivyo?
Fafanua zaidi,inaonekana kama umetumwa tu kuja kujaribu zali la bei humu jf.
 
Wadau pia kuna sehemu yoyote ambayo wanapanga labda hata kwa one month or 2 months au labda niseme kwa wageni wanakuja dar na kukaa kwa mda mfupi na kuondoka??Na ambazo zipo full furnished
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kunduchis is a very good neighbourhood, ila kwa hiyo bei mkuu? na mafoleni ya kule Dah!

Foleni itapungua Mrembo kwani kuna upanuzi wa barabara ya Bagamoyo! lakini pia kuna wengine wamejiajiri na wana muda wao wa kwenda kazini, si wote wanaondoka asubuhi ama kurudi jioni wakati wa foleni! Ofisi zimesogea karibu na Makazi pia hadi bahari beach na Tegeta kuna ofisi, sii wote wako city centre!
 
600,000 x 12 = 7,200,000 kwa mwaka! Hiyo pesa umeshajenga nyumba ya vyumba viwili! ahahhhhaaa. Hizo bei ni kwa wageni wanaokuja na kutoka bongo, lakn kama bongoland ny home, na kipato cha elf50 kwa siku hiyo ni ghali!

Uyasemayo yana ukweli ndugu, lakini thamani ya nyumba ama makazi bora si matofali ama cement na mabati! Ni eneo husika! Ndio maana ukienda maeneo ya Oysterbay utakuta viwanja viwili vinafanana kwa ukubwa, kimoja kina nyumba tena ya ghorofa na kingine hakina, lakini baei ziko sawa! jiulize kwa nini? People are buying location, not brick and mortar! Ukumbuke pia kwamba maeneo mengi ya Dar es Salaam hayako planned (over 70%) ndio maana bei za maeneo haya zinakuwa juu! Hiyo ndiyo hali halisi, na si mimi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom