Kuna Eneo la ukubwa wa robo eka linauzwa Majohe Rada karibu na chuo cha ualimu cha Westland College Sh 12,000,000/ kiko Barabarani na nguzo za umeme ziko karibu linafaa kwa Biashara na Makazi, mazungumzo yapo , piga 0767236210
35m kwa 35m ni makadirio tuliyozoea tu. Eka (acre) moja ni sawa na mita za mraba 4046.9 hivyo robo eka ni sawa na mita za mraba 4046.9/4 ni kama mita za mraba 1011.7 au mita 32 kwa mita 31.7.
Nyongeza:
Ninauza kiwanja chenye upana mita 24 urefu mita 30, kipo Kivule (Kitunda) - Ukonga. Bei Tzs 6.5m. Kipo vizuri tayari kwa kujengwa, tambarare, kinapakana na barabara kubwa ya mtaa, etc.
Kwa maelezo zaidi ni PM
Karibu
hapo hapo kama wataka nusu eka nauza 5m kigamboni kwa pinda waziri mkuu. Eneo halifikiwi na mradi nina shamba kubwa nipm upate makazi na eneo la mifugo na bustani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.