Ipo E-90 mpya kabisa bt ni simu na charger yake tu. Mwenye kuhitaji ani pm.
Mimi yangu nimeuza 50,000tuu! Kimeo hicho ntamfikiria mwenye e90 cz zimefanana bt e90 mashine ya ukweli! Kama 9300-50,000 kama 9300i-70,000! Cz thy are also used
sh ngapi hiyo...
Wote nyie wezi tuuu... Simu za kuwachomolea watu mifukoni.. Toeni utapeli wenu hapa. Maduka yapo tutaenda, mmenipotezea muda wangu kusoma hili lithread lenu.. Alaaah.
Toeni njaa hapa.