Heshima kwenu wadau wote,
Najua kutokana na kuja kwa TV za kisasa LCD TV, LED TV and other HIGH DEFINITIONS tv wadau wengi tumeanza kuzitumia majumbani kwetu as kwenda na technologia na...
Tafadhali kama kuna mtu anayeweza kunisaidia kujua ni Duka gani hapa Dar es Salaam anaweza kupata vifaaa vifuatavyo anaomba anaisadie.
-Broadcasting Mixing Console
-Channel Mixer
-Alesis 3630...
NIMEPANGISHA FREMU KARIAKOO KWA BEI YA LAKI MBILI KILA MWEZI NIKALIPIA MILION MOJA POINT 2, YAANI Tshs. 1,200,000/= KWA KODI YA MIEZI SITA (6).MARA BAADA YA KUANZA KIJANA WANGU NINAYE MTEGEMEA...
Blackberry Torch 9800 for sale, its used and has no any problem for more details contact me on 0713079282... I won't answer anything posted here or on PM
Wakuu yeyote mwenye iPad nlizotaja hapo juu ziwe na ukubwa wowote hata 8gb,16gb,32gb wasiliana na mm 0713079282 na bei atoe muuzaji na siokuniuliza budget yangu.
Iwe na chaja,usb,earpiece
Iwe ina multitasking capabilty
Iwe touchscreen au qwerty
Iwe in good condition
Ela itatolewa kulingangana na simu kwaiyo amna exact price
Aliye tayari kupewa...
Mambo vipi wana JR? Natafuta rottweiler puppies au mbwa wakubwa, kama kuna mtu ana information yoyote wanakopatikana naomba anisaidie. wakiwa wamecross nayo sio mbaya kupunguza ukali.
Kwa...
Wakubwa kuna chumba na sebule na choo chake ndani kinapangishwa maeneo ya mbezi beach (ya chini)
kutoka nyumba ilipo na barabara kuu ni 1KM . Hicho chumba na sebule vipo ndani ya fensi gari hata...
wakuu naombeni msaada wenu wapi ntapata sticker za kuweka ukutani badala ya kupaga rangi nyumba.na bei pia ikiwezekana kwa square meter ni shilingi ngapi.hapa dar
nyumba nzuri sana mazingira mazuri sana Room tatu na Sitting kwa mwez laki 3 ipo kurasini karibu na chuo cha diplomasia.usi ni pm kwa maelezo zaidi piga 0719390285 / 0752935772
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.