Ofisi inapangishwa maeneo ya Namanga, Floor ya juu, Ali Hassani Mwinyi Rd! Ukubwa wa ofisi hii ni mita za mraba 200 na ina vitu vifuatavyo:
Back up Generator
Both Male and Female WC
Seperate LUKU...
Salaam,
Tumebobea kwenye fani ya kupaka heena, design za aina zote, kwa bi harusi, na sherehe za kawaida.
Tuna patikana tanga mjini.
contact. 0786 958110
Wanaohitaji Frame za Biashara K\koo Tsh 500,000/= 700,000/= 1,000,000/= Kwa mwezi na Kodi ni mwaka.
Maelezo zaidi: 0714-074040, 0767-074040, 0783-074040!!!
Item InfoRegistration Year / Month2003Odometer53,200 kmDisplacement1,000 ccSteeringRightTransmissionAutomaticFuelGasoline/PetrolModel codeDBA-KGC10-AHSAK
6,500,000 Tsh Ready to be Imported...
Kwa mtu au taasisi yoyote anayetaka kununua au kuuza nyumba katika maeneo ya jiji la Dar - Es - Salaam, tuwasiliane tunazo zaidi ya nyumba 20 za kuuza na zaidi ya 30 za kupangisha . bila kusahau...
Wadau mambo vipi Blackberry curve 8520 mpyaaa kabisa nimeiwekea Opera Mini so there is no need of Blackberry service ukitumia internet service unakatwa from your main account bei yetu ya kawaida...
hellow jf members.
Rejea kichwa cha habari, adapter yangu imenifia ghafla, na ni very urgent coz kazi zangu zoote zimesimama,, i need a new durable adapter as fast as possible...
Chama dume, chama tawala , chama chenye dola , chama cha ccm kimeanzisha blogu ambayo pamoja na kuhabarisha habari za mapema za shughuli za chama, lakini itakuwa ikiyapa kipaumbele pia matukio ya...
Hi jf
Nimeanzisha shule inaitwa future light,
inafundisha kwa kutumia program za kujifunzia.
Mwanafunzi kuanzia darasa la kwanza anajifunza kwa kutumia program maalum za computer.
Ni modal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.